Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Nihatari dada yng! Bora kwenda kuoa mwalabu Msukuma Wa pale Lugulu Bariadi!
Hebu waacheni akina miss chaga wapumue, ng'wabhadilila gwa gwa gwa!!!Tena walivyo Weupe sn akina miss chagga Yani unatoa zizi lote!
Ila batena amagolo, amagolo madii gete midenge ya basikeli!
Cc Ng'wamapalala Mjuni Lwambo
Uli mhola ng'wallu!!???au wale wa sangilwa
Taa itoke wapi kaka? Kwanza walio wengi ni mkorogo tu. Kitu natural beauty kakaMhhhh kwani alinatara kubhushu?
Nina demu mmoja mmanga hapa Maganzo ndugu yake na Nchambi's, mwambie ni muachie.Nywele HAkaNA tatizo la Mshinga huenda ni Msukuma
sasa angekuwa WHITE nywele za kumwagika mgongoni
Je angekuwa ni MMANGA wa Maganzo au Tabora au wa Kirangi nywele zake si ungekimbia
Hebu waacheni akina miss chaga wapumue, ng'wabhadilila gwa gwa gwa!!!
Taa itoke wapi kaka? Kwanza walio wengi ni mkorogo tu. Kitu natural beauty kaka
Muache kusema ni wasukuma tu ndo tunapenda watoto kama hawa,hivi kuna watu wa jamii fulani hawapendi watoto kama hawa?haki ya nani siamini,ndo kila siku tunasingiziwa sisi tu.
Haya mtoto kama wa hivi kama yumo humu ndani mimi nitaarifiwe ili nimpigie simu mzee aandae ng'ombe za kutosha kabisa alafu nyinyi ambao hamuwapendi hawa basi mtuachie sisi wasukuma wanatufaa.
Chonde chonde habari ya kuoa kwa mahari mimi siifagilii. Sikatazi, lakini siifagilii na kwa hiyo kazi ya kupigia mahesabu nani auzwe kwa ng'ombe wangapi naomba niepushwe nayo.
Halafu kama mtu anapenda wanawake weupe ingefaa atafute mzungu na kumaliza ubishi.
Oneta naseke nkoyi! Mmanile ukuyomba.Ntuzu miss neddy na Mshinga..kipindi kile miss tz hapiness magese alivotwaa taji,alifanyaga ziara mikoani..sasa alivofika mwanza alitembelea maeneo mbalimbali...abhagosha abhasukuma angu bhalina tuja,walitegemea anakuja miss mweupe nginu gete ..sasa aho oshika u hepi..abha jinja she bha mwaloni bhayumela
''agaya,abha swahili bhalinatuja shi,bhatatangagije aliza miss,miss..duhaya aliza ng'wanike opee ngololoku shiza,aliyo bhadenhela miss ke..miss ke ng'wenuyu adeni dako''
kwa hiyo Mshinga weupe nele dako ni added advantage usukumani..lol
Oneta naseke nkoyi! Mmanile ukuyomba.
Bhebe ngosha, Huyu dada nina wasi wasi kama wazazi wake wataweza kupata ng'ombe nyingi za wasukuma pamoja na kwamba ni mweupe.Tena walivyo Weupe sn akina miss chagga Yani unatoa zizi lote!
Ila batena amagolo, amagolo madii gete midenge ya basikeli!
Cc Ng'wamapalala Mjuni Lwambo