Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Nawapa pole wanawake wa huko maana kazi wanayo.
Hata hatuna kazi maana tumeishazoea
Nawapa pole wanawake wa huko maana kazi wanayo.
We usiseme hivyo wachawi. Sema WAKULUGENZI
Hata hatuna kazi maana tumeishazoea
Hata hatuna kazi maana tumeishazoea
Umenikumbusha filamu ya "Hatupumui". Siku ya kwanza kusikia yule mama akiita "Wakulugenzi" nikadhani nitaona watu wenye vitambi wakitokea kumbe ni "washirika/wakulugenzi" wenzake wakatokea ghafla.We usiseme hivyo wachawi. Sema WAKULUGENZI
Kule naskia ukienda haurudi. Kuna mpaka wazungu wanaishi huko njia ya kuondokea hawaioni.
Umenikumbusha filamu ya "Hatupumui". Siku ya kwanza kusikia yule mama akiita "Wakulugenzi" nikadhani nitaona watu wenye vitambi wakitokea kumbe ni "washirika/wakulugenzi" wenzake wakatokea ghafla.
Hongereni kwa kutumikishwa
Hatumikishwi mtu wewe ni UPENDO Wa dhati huo!
Aahh wapi,unaishi ulimwengu wa nadharia,
Ndio wapi huko ulimwengu Wa nadhalia? Ndoa zetu hazivunjiki zinadumu! Fanya mchezo na Mahali wewe? Ng'ombe 50 Unafikiri mchezo? Utampenda tu mwanaume nolo ale nalogukuku! Teh Teh Teh Teh!
Unamdhaminisha mkeo na Ngo'mbe?
Alafu hiyo sentensi ya mwisho tafsiri tafadhali
Kwi Kwi Kwi tian mambo ya wasukuma ndugu yng ya kuacha tu! Mengine yanafurahisha sn mengine kwa nyie Wa ulimwengu Wa wasomi mnaweza Sema ni ukandamizaji! Lkn tamaduni ktk makabila hasa kwetu hapa zipo sn nzuri na Mbaya!
Ila uzuri jamii zinakwenda zinaelimika na baadhi ya tamaduni zinaenda zinapungua!
ukiwa unatafuta mke lazima uwe mkimya ili uonekane mpole,mwishowe ndege apeperuke bure,nani anapenda kupata mume eti muongeaji sana?
hata wakwe watashangaa.
ila taratibu naongea,alafu wewe si ndo nimupigie kabisa mzee aanze kuandaa ng'ombe tuje tughutighule?
Hongereni kwa kutumikishwa
We ndo usemavyo ila sie tunaona ni part ya maisha yetu na tunapenda kazi