tian
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 1,770
- 538
mahari ni mahari tu..iwe ng'ombe au pesa ni mahari tu..labda kama tian kwao hakuna mahari..hapo sawa..
Wachaga hawauzi watoto wao wa kike,
Mbege ndoo,mazima kidumu na mafuta hapo ni funga kazi,
Ndoo maana wanawake wa kanda ya ziwa wananyanyaswa sana,kwa kuwa huyo mume ana uchungu na hiyo mahari yake ya ng'ombe 50.
Last edited by a moderator: