Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

Kweli wewe mgodi unafoka tu na kutoa Mali!


Sikuhizi hata zile ngoma zakina Membo na Mgote, hazipo tena! Tulizoea kwenda kwenye matanda, na wakati wa kutoka ile jion tunafanya CHAGULAGA. Au kwny harusi tunaenda KUTULAMVA.
 
Last edited by a moderator:
Sikuhizi hata zile ngoma zakina Membo na Mgote, hazipo tena! Tulizoea kwenda kwenye matanda, na wakati wa kutoka ile jion tunafanya CHAGULAGA. Au kwny harusi tunaenda KUTULAMVA.


Bado zipo hizo Mkuu! Ukienda ndanindaniunakuta hayo mambo!
 
Ntuzu miss neddy na Mshinga..kipindi kile miss tz hapiness magese alivotwaa taji,alifanyaga ziara mikoani..sasa alivofika mwanza alitembelea maeneo mbalimbali...abhagosha abhasukuma angu bhalina tuja,walitegemea anakuja miss mweupe nginu gete ..sasa aho oshika u hepi..abha jinja she bha mwaloni bhayumela

''agaya,abha swahili bhalinatuja shi,bhatatangagije aliza miss,miss..duhaya aliza ng'wanike opee ngololoku shiza,aliyo bhadenhela miss ke..miss ke ng'wenuyu adeni dako''

kwa hiyo Mshinga weupe nele dako ni added advantage usukumani..lol

lucky me... black sukuma girl, got married 2 fellow sukuma.. japo nilikuwa si-wish kuolewa na wa kukaya, lakini nika-fall in love kwa ngosha
 
lucky you..abhange dugugwila guma kabhila...yaani
lucky me... black sukuma
girl, got married 2 fellow sukuma.. japo nilikuwa si-wish kuolewa na wa
kukaya, lakini nika-fall in love kwa ngosha
 
Back
Top Bottom