mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,851
Naduma okwelelwa Ahene! Shokelaga hage!
Ng'unuyo kalumbu wane mnantuzu.
Naduma okwelelwa Ahene! Shokelaga hage!
nadabhonile ahenaho sezae
hahahahahah..wenye miguu kama mshale..itakuwaje?
Oleee na tujaaaa
Ale na tuja gete ombehi!
Yeeee! Kanelemela abhota okokamana! Ehaha nelelwa!
Ebene leka nabakobele elina!
Sikuhizi hata zile ngoma zakina Membo na Mgote, hazipo tena! Tulizoea kwenda kwenye matanda, na wakati wa kutoka ile jion tunafanya CHAGULAGA. Au kwny harusi tunaenda KUTULAMVA.
yawezekana mi cjui kuchagua eh manake siuoni uzur wwte kwa hyo picha uliyoweka yan kawaida sn
Ntuzu miss neddy na Mshinga..kipindi kile miss tz hapiness magese alivotwaa taji,alifanyaga ziara mikoani..sasa alivofika mwanza alitembelea maeneo mbalimbali...abhagosha abhasukuma angu bhalina tuja,walitegemea anakuja miss mweupe nginu gete ..sasa aho oshika u hepi..abha jinja she bha mwaloni bhayumela
''agaya,abha swahili bhalinatuja shi,bhatatangagije aliza miss,miss..duhaya aliza ng'wanike opee ngololoku shiza,aliyo bhadenhela miss ke..miss ke ng'wenuyu adeni dako''
kwa hiyo Mshinga weupe nele dako ni added advantage usukumani..lol
Nabhetagha hanze..
lucky me... black sukuma
girl, got married 2 fellow sukuma.. japo nilikuwa si-wish kuolewa na wa
kukaya, lakini nika-fall in love kwa ngosha