Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
- Thread starter
- #161
Viboko vinakufaa!!Nishakuja
Ila bana sisi wanaume wa ajabu sana yaani hawa wanawake sikuwa na mazoea nao kabisa. Ila sasa kuna siku wakawa wanatukanana na kwa kuwa ni majirani zangu mimi nikaingilia kati. Sasa dah ndo yakatokea yaliyotokea.
Wanisamehe sana na tamaa zangu