Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,331
- 7,885
Naona ushaidi wa wazi huu hapa heloo!Ni kweli
Yaani anakutuhumu wewe ni ME kisa tu umeandika kitu asichokubaliana nacho!!! duuh!
Sikubaliani nawe asilani!!
hayo maneno ya kusema wanawake hatupendani yanatoka kwa mwanaume.
Na wanaume ndio hawawapendi wanawake kila siku masimango kwa wanawake hata humu JF.
Kwa andiko lako hili naanza kukuona kama wewe ni me aisee

