Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Serious na nini?Muwe serious basi
Serious na nini?Muwe serious basi
Emb njoo kwa huku nikunong'onezeKwakua uzalendo umenishinda
Wenye roho mbaya za kizimu ndio wako hivyo.
Mzuri weye mambo......Wenye roho mbaya za kizimu ndio wako hivyo.
U antisocial ndiyo nn!??Sema una katabia ka u antisocial.
Antisocial asiependa kuji socializeU antisocial ndiyo nn!??
U antisocial ndiyo nn!??
Yanafanana, mfano Paul na Paulina soma ueleweAkampa jina lako??? Hapo umekosea kidogo au?
Mbn nimeandika kawaidaHii txt mkuu umeandika kwa hisia pole mkuu jaribu kutembelea sehem za ufukwe weekend ili mind ako iwe na furaha walau basi mkuu sawa eehh
Bado sijaelewa mpnz wangu inaweza ukaandiks kiswahili, au halitaleta maana!???Antisocial asiependa kuji socialize
kumbe jovitha bado unasoma? nadhan amemanisha hujimix na watu unajitenga tenga na jamii
kwahiyo mtu asipoelewa hilo neno bado anasomaeee!!!??

umemaliza!...shikamoo dada NANDERA
Mzima mrs? Unaona Heloo anakuja na project mpya na tofauti kabisa ya "njoo pm"
Sasa hivi anakwambia #wadadatupendane# 🙂
![]()
kwahiyo mtu asipoelewa hilo neno bado anasomaeee!!!??
![]()
![]()
binafsi mie naamin ni propaganda!ila sijui!nadhan ni baadhi!#tunapendana#
Kutopenda kujichanganya na watu wengine huwapo nyumbani, shulen au kaziniU antisocial ndiyo nn!??
Mambo.Kifanyike kitu gani tuanze kupendana Dada Shunny