Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Emb njoo kwa huku nikunong'oneze

Emb njoo kwa huku nikunong'oneze

Unanipenda kwani mimi mwanamke?
Siamini, wanaume wengi hawapendani ila unafiki unafanya wasijulikane. Wanawake katika hili si wanafiki ndio maana unaona hawapendani zaidi ya mamen..Siku ukitaka ,kujua wanaume hawapendani kaa nao halafu jaribu kumsifia mwanaume aliyefanikiwa utaipata habari yake!
Staki kucheza na wewe tenaUnanipenda kwani mimi mwanamke?

Umepotea au mie ndo nimepotea??? Sijakuona kitambo!Wenye roho mbaya za kizimu ndio wako hivyo.
Nimechelewa kuiona Hii.Yaani Ni shida.Eti unaongea Na mtoto wako wa miaka 5.Hii Ni kweli kabisaNyie Mara nyingi huwa mnapunguza machungu kwa kusemana pembeni, unakuta wakati mwingine umeagana na shoga yako vizuri tu. Ila akikutegea mgongo unaanza "huyu mshenzi nae sijui lini atanilipa hela yangu" na hapo unakuta unaongea hata na mwanao wa miaka mitano tu.
Sisi tunaweza kumdai mtu hata miaka miwili bila ya mtu mwingine yeyote kujua, unabaki unajiuliza tu mwenyewe "sijui atalipa huyu".
Umepotea au mie ndo nimepotea??? Sijakuona kitambo!
Mambo?Nipo Mtoto wa Tandale na familia yake waliboa juu ya Zari party ya mama chibu mwaka jana, nami nikaumia hata kumshabikia lol
