Kwanini wanawake wengi wetu hatupendani?

Kwanini wanawake wengi wetu hatupendani?

Mpatane ili muwe kitu kimoja tushindwe kichepuka ndio mlivyoubwa sawa

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Halafu bado "wahenga" wanakomaa eti "fahari wawili hawakai zizi moja" nadhani its about time hao wahenga wakaingia tena bungeni kubadili baadhi ya hizo semi zao...
True friend.

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Nipo Mtoto wa Tandale na familia yake waliboa juu ya Zari party ya mama chibu mwaka jana, nami nikaumia hata kumshabikia lol
Mzuri mie mambo.

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Mpatane ili muwe kitu kimoja tushindwe kichepuka ndio mlivyoubwa sawa

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Haaa haaaaa Kumbe??

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Mmeumbwa Na Upeo Mdogo, Ili Muweze Kutongozeka. Akr Hz Zkkaa Pamoja Ni Majungu Na Umbea. Hvo Hata Km Mlikua Mnaelewana Mtaanza Kuvurugana Kwa Sababu Ya Maneno Yenu Yacokuwa Na Tija.
 
Mmeumbwa Na Upeo Mdogo, Ili Muweze Kutongozeka. Akr Hz Zkkaa Pamoja Ni Majungu Na Umbea. Hvo Hata Km Mlikua Mnaelewana Mtaanza Kuvurugana Kwa Sababu Ya Maneno Yenu Yacokuwa Na Tija.
Una chuki Na wanawake Wewe sio bure

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom