Kwanini wanawake wengi wetu hatupendani?

Kwanini wanawake wengi wetu hatupendani?

Lakini pia wakati mwingine tunakuwa vizuri tu hata wenyewe.
Kuna mahali nilifanya Internship, na karibu 70% ya wafanyakazi ilikuwa wanawake. Niliingia kwa woga nikijua kutakuwa na issues za hapa na pale, lakini ikawa tofauti.
Nilipata wasiwasi coz kuna journal niliona iliongelea issue ya wanawake kuwekeana vikwazo especially makazini.

Ingawa kulikuwa na wadada wawili watatu wenye issues hapo mahala, lakini mostly things were calm na kazi zilifanyika vizuri tu.
We did just fine.
Yes.Kuna wadada wapo poa sana.Ila wengiiiiii wetu Ni Balaaa.Tupunguze idadi basi.Naanza mimi
 
Mpaka namalizia chuo nakumbuka palijengeka matabaka zaidi ya sita Miongoni Mwa wanawake niliosoma nao, yaani ni mwendo wa kuhama room.kuna tabaka la masista du,wenye nyodo,wacha Mungu,wababe,wapiga msuli,mama huruma yani kila Mtu anaponea yani ni mwendo wa kuangalia tu.
Ni shida kwa kweli
 
Mkuu unaweza kusema ki maskhara lakini kuna wanaume wana mawazo ya hivi in reality.

Msipendane bana nyie tupendeni sie, mkitupenda siye tutawapa magari, nyumba, hela, meli, ndege n.k sasa mkipendana mtapeana nini kama si caro light
 
Msipendane bana nyie tupendeni sie, mkitupenda siye tutawapa magari, nyumba, hela, meli, ndege n.k sasa mkipendana mtapeana nini kama si caro light
Hahaha!, sawa bwana, sio kwa kutudharau huko lakini.
 
Msipendane bana nyie tupendeni sie, mkitupenda siye tutawapa magari, nyumba, hela, meli, ndege n.k sasa mkipendana mtapeana nini kama si caro light
Haaa haaaa Aleppo.Acha hizo Bana.Kupendana kwetu Ni faida sana
 
Mpaka namalizia chuo nakumbuka palijengeka matabaka zaidi ya sita Miongoni Mwa wanawake niliosoma nao, yaani ni mwendo wa kuhama room.kuna tabaka la masista du,wenye nyodo,wacha Mungu,wababe,wapiga msuli,mama huruma yani kila Mtu anaponea yani ni mwendo wa kuangalia tu.
Kwa wanaume hakukuwa na mabrazameni, wenye nyodo, wapiga misuli wala marioo wala suruali mkononi? Au chuo kilikuwa nje ya dunia? Hakuna hata mbinguni watu wanaofanana ila inapokuja ni wanawake na wanaume inakuwa ile ya kuku kujisaidia na bata kuharisha.
 
Au Ndo Maana wanawake tu naishi miaka miiingii?? But kutema nyongo Na chuki Ni vitu viwili tofauti
Nyie Mara nyingi huwa mnapunguza machungu kwa kusemana pembeni, unakuta wakati mwingine umeagana na shoga yako vizuri tu. Ila akikutegea mgongo unaanza "huyu mshenzi nae sijui lini atanilipa hela yangu" na hapo unakuta unaongea hata na mwanao wa miaka mitano tu.

Sisi tunaweza kumdai mtu hata miaka miwili bila ya mtu mwingine yeyote kujua, unabaki unajiuliza tu mwenyewe "sijui atalipa huyu".
 
Back
Top Bottom