Hili nalo nenoUkitaka ujue roho za hawa watu mlete mama mkwe akae hata mwezi ....bila mwanaume kua na hekima kesi hazitaisha yaan ni full kulalamikiwa.Sasa akija baba mkwe ni full raha .Jamani wanawake jichunguzeni mmalize tofauti zenu
Aisee mkuuu wanawake ni watu wa ajabu sana..majuzi hapa mama yeyooo alinitumia picha za maza angu mana wanaishi wote uko mjini anapofanyia kazi wife na mm niko wilaya za vijijini sasa maza amekuwa pale kwa ajili ya matibabu takribani miezi5..sasa.Sasa si nilichukua zile picha nikamtumia sister angu ili aone maza alivyonawiri nn...heeee..jibu lake sasa sifa eti zinaenda kwa house girl...na mm sikumchelewesha nikamwambia huyo house girl ndo ameolewa??huyu house girl anajua huyu mama nguo anazovaa zinanunuliwa sh ngapi??...alinyamaza kimya mkapa leo hatujawasiliana...nikajua ni wivu tuuu wa kike..yani bada ya ku appreciate wifi yake anakaa vzri na mama ake..ye akaona amsifie beki3...wanawake hawapendani kwa kweli...Ni kweli wanawake wengi hawapendani. Ni asili yao ukitakakuona njoo na mwanamke umtambulishe nyumbani kwa ndugu zako wa kike kuwa huyu ndiyo mke wangu kipenzi ndiyo utawajua vizur hawa viumbe
Sijamuona naniliu, wakati anapenda kukoment nyuz za wanaume,Umejuaje?????![]()
![]()
![]()
![]()

aisee we fala noma
Mimi mwanaume naweza kuwa nimetulia na wana akatokea rafiki yangu ghafla na nikamwambia we fala umepoteleaga wapi na akiondoka nitawaambia masela huyu jamaa rafiki yangu kichizi.
Ila mwanamke akimwona rafiki yake atampokea vizuri na kumwita majina mazuri ila akiondoka tu anaanza kumpaka maneno mabovu
Wadada na mi naomba kueleweshwa huwa nn tatizo.
Haaaa haaaaa hiyo tena Kali Sasa ulitembea Na wote Ili mmoja amkomoe mwenzake?? Na mbona ulikubari.Usikatae
nisiwe muongo sjashuhudia ila huwa nasikia kwa watu wengine
Umemaliza yote bibieNikweli, wanawake hatupendani, na kinacho Fanya tusipendane ni kila mmoja anajiona bora, mzuri yeye, kasoma yeye, pesa anazo yeye, kuvaa anajua yeye, mabwana mahandsome wote anayo yy, ndiyo chanzo cha sisi kutopendana tuna wivu wakijinga usio na maana
Si umesema haujui kidhunguWe utakua umentukana tu najua
Si nimeona umenambia kichwa kama bumunda miguu kama ngubiti nikajua haya matusi tu hayaSi umesema haujui kidhungu
umejuaje kama yale ni matukano ?
Mkuu mimi mama yeyooo anakaa na wife wenyewe miezi5 sasa mana nilipata uhamisho sasa kwa vile wife yuko mjini sikutaka kuangaikia maswala ya uhamisho.Sometime maza mwenyewe uniambia umshukuru mke wako...amenifanyia ABC....na hayo anayafanya mm sijui...so Mama anainjoi kukaa na mkwe wake...zawadi pekee kwa huyu mama yeyooo ni kwenda kupasha kiporo...yani mwakani nibariki ndoa kanisani mana hii yaserikali haitambuliki ki kristooo..Ukitaka ujue roho za hawa watu mlete mama mkwe akae hata mwezi ....bila mwanaume kua na hekima kesi hazitaisha yaan ni full kulalamikiwa.Sasa akija baba mkwe ni full raha .Jamani wanawake jichunguzeni mmalize tofauti zenu
Si nimeona umenambia kichwa kama bumunda miguu kama ngubiti nikajua haya matusi tu haya
Mi nakuangalia tu ujue![]()
![]()
![]()
![]()
Katika kumbukumbu zangu, sjawahi kumtusi mtoto wa kike. Wala sitajaribu.
akiniudhi saaaaaaana ntamwambia
Ona una sura mbovu kama beyonce wa jei ziii
Hio convo tunayoifanya sijui kama itatuacha salama hadi keshoMi nakuangalia tu ujue
Hii kesi naipeleka kwa mods,haiwezekani uniongeleshe kizungu
Kwani tuko jukwaa gani?Hio convo tunayoifanya sijui kama itatuacha salama hadi kesho
MMU on fulikiKwani tuko jukwaa gani?
Coz nimebugia mbege hata sielewi kitu especially hicho kizungu chako. Wallah naenda kusema kwa mods
Okey,basi wacha nilale ban itanikutia hukohukoMMU on fuliki