Kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi?

Kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi?

Unajua huu utafiti wa masuala ya ndoa sijui mnaangalia dar tu peke yake au vipi mbona ndoa zipo nyingi na watu wanafurahia ndoa zao tena wengi tu nawafahamu,
Wanaishi maisha ya amani ya ndoa wengi hawana smart phone ila hawa wachache wanaoleta mada ndo wanafanya hii taasisi ionekane ngumu.
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini..........
Wakuu naombeni majibu...
Jibu lianze na wewe.......chukua hatua, oa mmoja, ongeza wa pili, wa tatu na baadae wa nne....... tukifanya hivi tuta overcome hili tatizo!!!!
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza. Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume. Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
Kwani ndo ni oksgen wakiikosa watakufa???
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza. Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume. Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
sio kwamba waoaji hawapo siku hizi?
 
Sababu ni moja tu, kwamba wanaume wanapata huduma zote bila tatizo ndio maana hawaolewi. Siku wanawake wakiungana na kuaamua kuwa hawatoi kuholela mpaka waingie kwenye ndoa. Hata wanaume wataona thamani ya ndoa na kuiipa uzito

Sasa kila ukigeuka unapewa huduma unakuwa huoni sababu ya kuoa maana aliyeoa na ambae bado hamna tofauti yoyote
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza. Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume. Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
Hawataki kuwa chini ya mtu hasa ukizingatia kwamba wanataka uhuru wa kufanya mambo mbalimbali ktk maisha yao ya kila siku ...
 
wanawake hizi siku hawana maana ni wa kila mtu sasa unaoa ili uhifadhi mboga watu wawe wanachovya.
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza. Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume. Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
Vichwa maji

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Sababu ni moja tu, kwamba wanaume wanapata huduma zote bila tatizo ndio maana hawaolewi. Siku wanawake wakiungana na kuaamua kuwa hawatoi kuholela mpaka waingie kwenye ndoa. Hata wanaume wataona thamani ya ndoa na kuiipa uzito

Sasa kila ukigeuka unapewa huduma unakuwa huoni sababu ya kuoa maana aliyeoa na ambae bado hamna tofauti yoyote
Mkuu hili jina lako ni la asili!!? Samahani lakini
 
Ile thamani ya ndoa iliyokuwepo kipindi kile haipo tena kipindi hichi.

Uwezo walionao wakinamama au watoto wakike unawapa upofu wa kiburi kuwa wanaweza ishi wawezavyo na watakavyo.

Malezi na Uhuru wazazi wanaowapa watoto wao wakati huu pia unachangia sana hii hali kuwepo kwa kiasi kikubwa.

Nawasilisha hoja.
 
Generational curse na hamna namna ya kugeuza hili swala, watakaobahatika kuolewa wataolewa na watadumu wengine wataishia kdanga tu kwa maboss, mpaka dunia itapojirestart
 
Back
Top Bottom