Kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi?

Kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,082
Reaction score
61,997
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza. Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume. Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu.
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza.

Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume.

Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
Kwanini wanaume wanaacha acha wanawake hovyo ?
Kama hawakuwa tayari kuishi maisha ya ndoa si wasingeoa tu, tujue moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza.

Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume.

Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
Sababu ni wanaume wengi hawaoi, kama hao wanaume wengi wanaoa? wanawaoa wakina nani?
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza.

Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume.

Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...

Zama zimebadilika...

Mwanamke si pambo tena la nyumba...

Sikuhizi mwanamke ni kiburudisho....

Sijui kama wanaume wanaelewa.....!
 
Zama zimebadilika...

Mwanamke si pambo tena la nyumba...

Sikuhizi mwanamke ni kiburudisho....

Sijui kama wanaume wanaelewa.....!
Kwa hiyo na wao wanakubali kuwa kiburudisho?
 
Zama zimebadilika, utandawazi umebadili mambo.

1.Kuolewa hakuchukuliw tena kama jambo la heshima kama wazee wetu walivyokuwa wakiaminishwa, wanawake wa zaman waliweza kuolewa hata na watu wasowapenda na kuweza kuvumilia vipigo na manyanyaso kisa tu kulinda hadhi na heshima za familia zao, siku hiz wameamka ukizingua anaondoka hakubali tena manyanyaso wala dharau.

2.Wanawake zaman wengi hawakuwa wakifanya kazi walitegemea waume zao watafute, siku hiz nao wanajishughulisha hivyo wana kipato chao so hawaoni haja ya kuolewa ili hali wakitaka mapenz wanaweza hadi kulipia kama wanaume wanavyonunuaga wanaojiuza.

3.Wanaume wengi pia hawaoi, uchache wa wanaume, changanya na mashoga humohumo.

4. N.k n.k
 
Kwa hiyo na wao wanakubali kuwa kiburudisho?

Nafasi ya kukubali haipo...

Wanajikuta tuu washakuwa....!

Ndoa I akaniambia kwenye ngazi ya familia.

Kama baba na mama hawaishi maisha ya ndoa watoto wao wakike kwa kiume wakaona namna wanandoa wanaishi, usitegemee has Vienna kuna kuolewa au kuoa.
 
Nafasi ya kukubali haipo...

Wanajikuta tuu washakuwa....!

Ndoa I akaniambia kwenye ngazi ya familia.

Kama baba na mama hawaishi maisha ya ndoa watoto wao wakike kwa kiume wakaona namna wanandoa wanaishi, usitegemee has Vienna kuna kuolewa au kuoa.
Ni kweli, asilimia kubwa unakuta katika familia walizolelewa kuna changamoto, na kusababisha uzao wao kuishi maisha ya kidigital.
 
Zama zimebadilika, utandawazi umebadili mambo.
1.Kuolewa hakuchukuliw tena kama jambo la heshima kama wazee wetu walivyokuwa wakiaminishwa, wanawake wa zaman waliweza kuolewa hata na watu wasowapenda na kuweza kuvumilia vipigo na manyanyaso kisa tu kulinda hadhi na heshima za familia zao, siku hiz wameamka ukizingua anaondoka hakubali tena manyanyaso wala dharau.
2.Wanawake zaman wengi hawakuwa wakifanya kazi walitegemea waume zao watafute, siku hiz nao wanajishughulisha hivyo wana kipato chao so hawaoni haja ya kuolewa ili hali wakitaka mapenz wanaweza hadi kulipia kama wanaume wanavyonunuaga wanaojiuza.
3.Wanaume wengi pia hawaoi, uchache wa wanaume, changanya na mashoga humohumo.
4. N.k n.k
Nadhani pointi namba 3 inaweza kuwa sababu sahihi
 
Back
Top Bottom