Wanawake wengi siku hizi hawaitaki CCM

Wanawake wengi siku hizi hawaitaki CCM

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,838
Reaction score
50,543
Zamani CCM ilikuwa inategemea kundi la wanawake kama kundi lake la wapiga kura.

Lakini utafiti wangu siku za hivi karibuni nimegundua wanawake wengi hawataki kabisa kusikia habari za CCM.

Inawezekana kati ya wanawake 70 kati ya 100 wenye umri wa miaka 18 mpaka 40 hawaitaki kabisa CCM.
 
Zamani CCM ilikuwa inategemea kundi la wanawake kama kundi lake la wapiga kura.

Lakini utafiti wangu siku za hivi karibuni nimegundua wanawake wengi hawataki kabisa kusikia habari za CCM.

Inawezekana kati ya wanawake 70 kati ya 100 wenye umri wa miaka 18 mpaka 40 hawaitaki kabisa CCM.
Hao ni hadi wabakie na akina Lucas,Tlatlah,Funuku ,insinct desere na vyawa wenzao wachache ndiyo watazinduka kutoka usingizini
 
Hapa nchi ilipofikishwa na hawa mbogamboga kila mwenye akili timamu hataki kuisikia kabisa CCM na ushahidi ni ile nyomi inayojitokeza kwenye mikutano ya Chadema maana wale siyo wote ni Chadema bali ni umma uliyoichoka CCM. Ni mazuzu tu kama akina Lucas Mwashambwa ndiyo wanaipenda CCM kwa matumaini ya kutupiwa makombo toka kwenye meza za mafi.
 
Zamani CCM ilikuwa inategemea kundi la wanawake kama kundi lake la wapiga kura.

Lakini utafiti wangu siku za hivi karibuni nimegundua wanawake wengi hawataki kabisa kusikia habari za CCM.

Inawezekana kati ya wanawake 70 kati ya 100 wenye umri wa miaka 18 mpaka 40 hawaitaki kabisa CCM.
Maadamu Ccm wana Dola, hata hizo kura hawazitaki.
 
CCM NI WAPUMBAVU SANA MKUU, LAKINI NITAKUJIBU KWA KIFUPI ANAEVUNJA UTULIVU/AMANI NI....

1. Anayeteka watanzania Wenzetu akina Soka, Polepole, Mdude, Chaula nk.

2. Anayepiga watu Risasi Akina TUNDU LISSU, SATIVA AKWILINA MAWAZO NK

3. Anayezuia haki ya Kikatiba ya Mikitano ya Vyama vya siasa.
(Kushiriki mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani.

4. Anayezuia Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba ya Tanzania.

5. Anayezuia na Kupora Haki ya watanganyika ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka.

6.Anayeficha Kila aina ya mikataba, Bandari, Ardhi, Dhahabu, Gesi nk.

7. Anayekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari

CCM WAMETUONA WATANGANYIKA NI MALOFA SANA


AMKENI WATANGANYIKA.
 
Screenshot_20260616-173300~2.png
 
Hapa nchi ilipofikishwa na hawa mbogamboga kila mwenye akili timamu hataki kuisikia kabisa CCM na ushahidi ni ile nyomi inayojitokeza kwenye mikutano ya Chadema maana wale siyo wote ni Chadema bali ni umma uliyoichoka CCM. Ni mazuzu tu kama akina Lucas Mwashambwa ndiyo wanaipenda CCM kwa matumaini ya kutupiwa makombo toka kwenye meza za mafi.
Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe kama Mazuzu.

CCM ndio chama pekee kilichobeba Matumaini ya watanzania na ambacho kinaaminika ,kupendwa ,kukubalika na kuungwa mkono na watanzania wote wenye akili Timamu na wanaojitambua kutoka makundi yote
 
Zamani CCM ilikuwa inategemea kundi la wanawake kama kundi lake la wapiga kura.

Lakini utafiti wangu siku za hivi karibuni nimegundua wanawake wengi hawataki kabisa kusikia habari za CCM.

Inawezekana kati ya wanawake 70 kati ya 100 wenye umri wa miaka 18 mpaka 40 hawaitaki kabisa CCM.
Na wewe ni Mwanamke?
 
Zamani CCM ilikuwa inategemea kundi la wanawake kama kundi lake la wapiga kura.

Lakini utafiti wangu siku za hivi karibuni nimegundua wanawake wengi hawataki kabisa kusikia habari za CCM.

Inawezekana kati ya wanawake 70 kati ya 100 wenye umri wa miaka 18 mpaka 40 hawaitaki kabisa CCM.
Siku zote mpumbavu uchelewa kujifunza ....na huja kujifunza kwa uchungu na maumivu na kwa hasara kubwa...ndiyo maana sasa wanawake wanaichukia ccm .
 
Zamani CCM ilikuwa inategemea kundi la wanawake kama kundi lake la wapiga kura.

Lakini utafiti wangu siku za hivi karibuni nimegundua wanawake wengi hawataki kabisa kusikia habari za CCM.

Inawezekana kati ya wanawake 70 kati ya 100 wenye umri wa miaka 18 mpaka 40 hawaitaki kabisa CCM.
Wanawake wenye akili ni 0.00001 ya wanawake wote Tanzania. Hata akina Covid1⁹ ndio hao hao
 
Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe kama Mazuzu.

CCM ndio chama pekee kilichobeba Matumaini ya watanzania na ambacho kinaaminika ,kupendwa ,kukubalika na kuungwa mkono na watanzania wote wenye akili Timamu na wanaojitambua kutoka makundi yote
Makebo yako
 
Hao ni hadi wabakie na akina Lucas,Tlatlah,Funuku ,insinct desere na vyawa wenzao wachache ndiyo watazinduka kutoka usingizini
Uliona wataja ni walamba mav ya m.a.m...ma
Wao kutwa kuvha kukata mauno tu
 
Back
Top Bottom