Kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi?

Kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi?

1. Uzumbukuku wa nchi za magharibi uitwao haki sawa ndiyo chanzo cha yote hayo.

2. Malezi mabovu ya wazazi kwa watoto jinsi K. MFANO; Kipindi flani nilienda Chuo Cha T.I.A kuchukua gamba kuna Binti mdogo tu wa 25yrs nilimuuliza inshu ya kuolewa alinijibu ifuatavyo:

"Akaaa...mi sitaki manyanyaso yoyote sababu ya Mume zaidi ya kutafuta Mume anizalishe tu watoto nitalea mwenyewe maana nitakuwa na kazi yangu, Me wenyewe ndiyo hawa hawa wanaotupiga na masimango juu kisa ni vichwa vya familia?"
 
Zama zimebadilika, utandawazi umebadili mambo.
1.Kuolewa hakuchukuliw tena kama jambo la heshima kama wazee wetu walivyokuwa wakiaminishwa, wanawake wa zaman waliweza kuolewa hata na watu wasowapenda na kuweza kuvumilia vipigo na manyanyaso kisa tu kulinda hadhi na heshima za familia zao, siku hiz wameamka ukizingua anaondoka hakubali tena manyanyaso wala dharau.
2.Wanawake zaman wengi hawakuwa wakifanya kazi walitegemea waume zao watafute, siku hiz nao wanajishughulisha hivyo wana kipato chao so hawaoni haja ya kuolewa ili hali wakitaka mapenz wanaweza hadi kulipia kama wanaume wanavyonunuaga wanaojiuza.
3.Wanaume wengi pia hawaoi, uchache wa wanaume, changanya na mashoga humohumo.
4. N.k n.k
Mapenzi huwa hayanunuliwi bali hujengeka yenyewe jinsi mtavyoendana damu kimahusiano ila starehe ndizo hazihitaji mbwembwe zaidi ya chapaa tu.
 
Screenshot_20220215-212900.jpg
 
Nafasi ya kukubali haipo...

Wanajikuta tuu washakuwa....!

Ndoa I akaniambia kwenye ngazi ya familia.

Kama baba na mama hawaishi maisha ya ndoa watoto wao wakike kwa kiume wakaona namna wanandoa wanaishi, usitegemee has Vienna kuna kuolewa au kuoa.
Ila Ke pia ule ujasiri wa kucheza uchi kwenye kumbi za disko, casino na hata uvaaji wa mavazi yao ya kuonesha tupu zao ktk Jamii kwa karne hii kunadhihirisha kabisa ni viburudisho kwa 60% japo si wote.
 
1. Uzumbukuku wa nchi za magharibi uitwao haki sawa ndiyo chanzo cha yote hayo.

2. Malezi mabovu ya wazazi kwa watoto jinsi K.
MFANO; Kipindi flani nilienda Chuo Cha T.I.A kuchukua gamba kuna Binti mdogo tu wa 25yrs nilimuuliza inshu ya kuolewa alinijibu ifuatavyo:

"Akaaa...mi sitaki manyanyaso yoyote sababu ya Mume zaidi ya kutafuta Mume anizalishe tu watoto nitalea mwenyewe maana nitakuwa na kazi yangu, Me wenyewe ndiyo hawa hawa wanaotupiga na masimango juu kisa ni vichwa vya familia?"
Kweli mkuu, namba 1&2 zinaweza kuwa sababu
 
Zama zimebadilika, utandawazi umebadili mambo.
1.Kuolewa hakuchukuliw tena kama jambo la heshima kama wazee wetu walivyokuwa wakiaminishwa, wanawake wa zaman waliweza kuolewa hata na watu wasowapenda na kuweza kuvumilia vipigo na manyanyaso kisa tu kulinda hadhi na heshima za familia zao, siku hiz wameamka ukizingua anaondoka hakubali tena manyanyaso wala dharau.
2.Wanawake zaman wengi hawakuwa wakifanya kazi walitegemea waume zao watafute, siku hiz nao wanajishughulisha hivyo wana kipato chao so hawaoni haja ya kuolewa ili hali wakitaka mapenz wanaweza hadi kulipia kama wanaume wanavyonunuaga wanaojiuza.
3.Wanaume wengi pia hawaoi, uchache wa wanaume, changanya na mashoga humohumo.
4. N.k n.k
Zamani ilikuwa kama utumwa fulani, kuolewa kwa lazima hata ukipata mateso nikuvumilia tu vipigo sasa siku hizi, mwanaume akizingua anazinguliwa vile vile, akiwa mzembe mzembe changanya na wala chips anafumuliwa vizuri tu.
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza.

Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume.

Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...

kwani huoni kwamba Wanaume ni wachache duniani

sasa kama mwanaume anataka aolewe na mwanaume mwenzake unafikiri wanawake watapata fursa ya kuolewa
Kiufupi Wanaume rijali ni wachache na wengi wameoa
Hao wasio oa baadhi yao ndo utakuta ni mashoga
 
Hali za kimaisha nazo zinachangia, unakuta mwanamme mwenyewe uhakika wa milo mitatu bado ni shida, sasa unaoa ili iweje?!!!

Maana ukishaoa nyie sio wawili tena ni watatu nakuendelea, ili kuepuka kutesa viumbe wasio na hatia watu wanachagua kutokuoa.
 
1. Uzumbukuku wa nchi za magharibi uitwao haki sawa ndiyo chanzo cha yote hayo.

2. Malezi mabovu ya wazazi kwa watoto jinsi K.
MFANO; Kipindi flani nilienda Chuo Cha T.I.A kuchukua gamba kuna Binti mdogo tu wa 25yrs nilimuuliza inshu ya kuolewa alinijibu ifuatavyo:

"Akaaa...mi sitaki manyanyaso yoyote sababu ya Mume zaidi ya kutafuta Mume anizalishe tu watoto nitalea mwenyewe maana nitakuwa na kazi yangu, Me wenyewe ndiyo hawa hawa wanaotupiga na masimango juu kisa ni vichwa vya familia?"
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless

When a man is not deluded enough to think this he can not only outmaneuver her but outclass her at her own game

Lot of this delusion is result of social brainwashing

Our ancestors weren't this stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza.

Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume.

Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
Niliandika na kufuta
 
Wanawake wengi siku hizi hawaolewi, sijui tatizo ni nini; hata wakiolewa baada ya muda fulani wanaachana na kuwa singo maza.

Najaribu kufanya utafiti angalau nijue sababu inayowafanya wabaki walivyo, lakini bado kupata majibu.

Unaweza pia kuthibitisha hili ninalolisema, kwa kuangalia kwa mazingira uliyopo, unakuta mdada ana miaka 35 au 40 ana kazi nzuri, lakini hana mume.

Ina maana kwa sasa dunia imeshakuwa na upungufu wa wanaume kiasi hicho?

Wakuu naombeni majibu...
Alaumiwe aliyeanzisha habari ya kudanga
 
Wanawake wengi ni miyeyusho tu hadi sisi waoaji tunaona hapa hapafai.
 
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless

When a man is not deluded enough to think this he can not only outmaneuver her but outclass her at her own game

Lot of this delusion is result of social brainwashing

Our ancestors weren't this stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
Ancestor gani hao.

Wakati Samsoni alinyooshwa vilivyo na hata maandiko yanasema muishi nasi kwa akili.
 
Back
Top Bottom