Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

U could ask without posting a pic from a source people can visit to ascertain who it is..
To answer u qn tuna vitambi coz na nyie mna vitambi
Mhandisi mifumo na njia kuu za umeme
 
U could ask without posting a pic from a source people can visit to ascertain who it is..
To answer u qn tuna vitambi coz na nyie mna vitambi
Mhandisi mifumo na njia kuu za umeme
mbona mwakopi magazeti na ku paste humu??? why hamuweki link tu??
 
Hivi wewe ni binti?
l152778808759136.jpg
 
wanaume wanapenda vitambi vya wanawake. wangekuwa wanaume wanavichukia hivyo vitambi usingeviona mkuu
 
borrrrrrrrringgggggggggg:smash::smash::smash::smash:...MODS wanaoleta picha za watu kuwadhalilisha wawe wanapewa BAN kidogo ya siku kadhaa ,wasijenge hii kuwa tabia!
mods siwaelewi kabisaaa.....nao naona akili zao wamezirudisha kwa wenye nazo.....

......hii picha nime kopi kwenye blog ya jide kama ilivyo na kuuliza swali why.....sasa huyu kidudumtu anasema mie nawadhalilihsa???? mie nimecopy link na ku paste hapa.....mods ur goin mad ic
 
wanaume wanapenda vitambi vya wanawake. wangekuwa wanaume wanavichukia hivyo vitambi usingeviona mkuu

mmmhh afadhali hata
kuna ambae atanisindikiza kwenye nyama choma na bia..
maa kila mtu anakimbia kitambia changu lol
 
Its Not a Thing which can not be Solved...... A few Sit Ups now and then everything will be gone..... By the Way kuna mwenye any Latest Za Arusha???
 
Back
Top Bottom