WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Ndo maana nasema mmefyumuuu teh teh poleni
Ofa ziko pale pale hatutaacha kuwapa whether tuko ulaya ama bongo
Mwendo mdundo tu kutoa ofa
Cha msingi mfanye mazoezi:A S-alert1:
:focus:
Kimbweka hatukatai mazoezi na diet vyote tunafanya na ukweli ni utaratibu wangu wa kawaida sana,,,,kadhia inakuja hapo kuwa vitambi vinaletwa na ofa za wanaume,,jamani that is an insult