Kwanini wanawake na wanaume hawachanganyikani msikitini?

Kwanini wanawake na wanaume hawachanganyikani msikitini?

Ni kwa nini katika Uislamu wanawake na wanaume hawachanganyikani katika chumba kimoja msikitini?
Bora tu walivyotengwa kweli mzigo kama huu unainama mbele kutakuwa na kusali kweli?
20260408_212925.jpg
 
Ila waislamu wengi wana viungo laini sana.
Ile mikao na mikunjo yao ya viungo vyao bila kujali umri wala kimo cha anayeswali ni mazoezi tosha...
Hiyo flexibility ni sio kitu chepesi
 
Tabia za hovyo na za kishenzi za familia yako,usifanye kua ndio ikawa kua ndio tabia za watu wote wa dini hiyo,usihukumu dini yote kwa tabia za familia yako,

Yani hicho kifamilia chako cha hovyo ndio kikufanye uhukumu watu wote wa dini hiyo Dunia nzima?
Kama jamaa Chizi Maarifa yeye anaimani kuwa alizaliwa katika familia ya MaSheik na baba yake alikuwa Sheikh mkubwa .

Kupitia uzi wake mmoja kuhusu familia kuhusu familia yake na Baba yake utagundua wazi kuwa baba yake alikuwa mshirikina mkubwa kama mganga wa kienyeji na alikuwa mjinga wa kiwango kikubwa kuhusu Maarifa na elimu sahihi ya dini ya Kiislamu .

Jamaa baada ya kukua anakuja kulaumu Uislamu kumbe alilewa kwenye familia ya kushirikina
 
Kama Kuna chanjo ya Malaria hakuna haja ya kulala na neti labda kwa ajili kuondoa usumbufu wa kelele za mbu, pia ikipatikana dawa au chanjo ya ukimwi condoms zitakuwa hazina maana tena.

Halafu sasa kama wanaume wanavutiwa na kutamani chochote kwa mwanamke ina maana gani kuvaa hijabu, niqab au burqa?? Labda mseme hayo mavazi sio kwa ajili ya kuondoa au kupunguza matamanio ya wanaume bali ni sheria ya Allah tu. Wanawake wa zamani kabla ya Uislamu walivaa hivyo kama ishara ya kutawaliwa na mwanaume pamoja utiifu/unyoofu kwa mungu/miungu au social status na sio kwa sababu za matamanio ya wanaume.
Una ushahidi gani kuwa Wanawake kabla ya Uislamu walivaa Kwa sababu hiyo ?

Kumbuka ushahidi upo kipindi fulani Wanawake baada ya Uislamu walikuwa hawavai hijabu wala hawafuniki uso kabla ya kushuka hiyo amri katika katika maandiko.

Swala la kuondoa asilimia đź’Ż matamanio ya Mwanaume kwa Wanawake hilo haliwezekani hata avae kiroba , sasa jambo kama haliwezekani lote haliachwi lote unaweza kudhoofisha na kuondoa hatari kubwa au nguvu kubwa na kulinda heshima
 
Back
Top Bottom