Kwanini wanawake na wanaume hawachanganyikani msikitini?

Kwanini wanawake na wanaume hawachanganyikani msikitini?

Mzee upo entitled na dini ya kiarabu kuliko hata wenye dini yao.
Acha ujinga kijana,haya maneno ulitakiwa umwambie mleta mada,
Au ndio wewe umekuja kwa ID nyingine?

Nani kakwambia kua Uislamu ni dini ya jamii fulani?
Au huko Kanisani hua mnaambiwa hivyo wakati mnauziwa udongo?
 
Leta nyingine hii ni nyepesi sana mkuu😂😂 nasubiri nyingine endelea kupekua zipo nyingi😂

My level of anger is extremely high I can’t lower it at all🫰
Anger?
Why getting anger for no reason?

Kwani kuna kibaya gani kwenye hiyo post? Kwani hiyo post ni maneno yangu mimi?
 
How did u know am in anger? Am not in anger dt even think that.

The fact that you went to remove that thread and brought it here is enough proof of the intense anger you have towards me.
Unfortunately, there’s nothing I can do to help you, but despite everything, I still treat you like a grown up platinum member 🫡
Yet I’m surprised by the kind of behavior you display lol 😆 lakini siwezi kukupangia cha kufanya🙏
 
The fact that you went to remove that thread and brought it here is enough proof of the intense anger you have towards me.
Unfortunately, there’s nothing I can do to help you, but despite everything, I still treat you like a grown up platinum member 🫡
Yet I’m surprised by the kind of behavior you display lol 😆 lakini siwezi kukupangia cha kufanya🙏
You have a lot to learn about human behavior,
Unachokifikiria sicho,kuleta uzi hua tunaleta ili kuweka reference sawa,wala wewe sio mtu wa kwanza kuletwa uzi wako kwenye comments.
 
Kama jamaa Chizi Maarifa yeye anaimani kuwa alizaliwa katika familia ya MaSheik na baba yake alikuwa Sheikh mkubwa .

Kupitia uzi wake mmoja kuhusu familia kuhusu familia yake na Baba yake utagundua wazi kuwa baba yake alikuwa mshirikina mkubwa kama mganga wa kienyeji na alikuwa mjinga wa kiwango kikubwa kuhusu Maarifa na elimu sahihi ya dini ya Kiislamu .

Jamaa baada ya kukua anakuja kulaumu Uislamu kumbe alilewa kwenye familia ya kushirikina
Waganga wanatumia majini katika shughuli zao, ni jambo linalojulikana wazi jinsi waganga wengi ni masheikh pia, ipi mifano mingi ya masheikh wanaosema uganga hauna shida katika dini mfano Sheikh Sule na Sharif Majini, Masheikh wengi pia huwa wanavaa pete za uganga.
 
You have a lot to learn about human behavior,
Unachokifikiria sicho,kuleta uzi hua tunaleta ili kuweka reference sawa,wala wewe sio mtu wa kwanza kuletwa uzi wako kwenye comments.
Tatizo sio kuleta thread yangu, the problem ni namna umeileta kwa design ya masingo fulani, but mimi niko poa.
Tunaweza kuwa marafiki wazuri ukita mkuu 🤝
 
JF hua tunasema id imesha zoeleka na inafahamika zaidi,

Maisha uliyoyapitia nafikiri athari zake zimeanza kuonekana sasa,pole sana,stay calm u will be ok.
Aloo😂 hakuna namna asante
Nimepokea pole kwa dhati ya moyo wangu thank you Bro😍
 
Una ushahidi gani kuwa Wanawake kabla ya Uislamu walivaa Kwa sababu hiyo ?

Kumbuka ushahidi upo kipindi fulani Wanawake baada ya Uislamu walikuwa hawavai hijabu wala hawafuniki uso kabla ya kushuka hiyo amri katika katika maandiko.

Swala la kuondoa asilimia 💯 matamanio ya Mwanaume kwa Wanawake hilo haliwezekani hata avae kiroba , sasa jambo kama haliwezekani lote haliachwi lote unaweza kudhoofisha na kuondoa hatari kubwa au nguvu kubwa na kulinda heshima
Upo ushahidi wa kihistoria kuonyesha wanawake walikuwa wanajifunika vichwa/veiling kwa sababu mbalimbali (hijab kwa uarabuni) kabla, wakati na baada ya ujio wa Uislamu na Muhamad. Alichokifanya Muhammad ni kufanya sheria ya lazima ya kidini na hapo ndipo mtafaruku mzima ulipoanzia kwa sababu wanaume Waislamu wenye msimamo mkali na wasio na tolerance walitumia huo mwanya kufanya ukandamizaji, control na ujinga wa kila aina dhidi ya wanawake.
 
Mwanamke katika Uislam ni kijakazi na chombo cha starehe hana heshima yoyote
Hiyo ni kwenye biblia
Ni kwa nini katika Uislamu wanawake na wanaume hawachanganyikani katika chumba kimoja msikitini?

Katika Biblia:


Yesu anawaona wanawake kama kitu kichafu kinachowatia unajisi wanaume (kwa kuwa Yesu, ambaye kwa wakristo hudai ni mungu, ndiye anayesemekana kuhamasisha Agano Jipya kama Wakristo wanavyodai):


Ufunuo 14:4
“Hawa ndio wale (wanaume) ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa maana walijilinda wakiwa safi. Wanamfuata Mwanakondoo kila aendako. Walinunuliwa kutoka miongoni mwa wanadamu, wakatolewa kuwa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwanakondoo.
 
Umeona ile mada wanawake wenu wanashambuliwa kwa kuvaa nusu uchi kanisani ukaja kujifariji huku sio?

Nenda kajibu hoja kule acha kubadili magoli au kutafuta pakutokea.
Ulipaswa kumjibu maana yeye haelewi, angekuwa na nia ya kukashifu angekuja na mtazamo wake badala ya kuuliza
 
Tatizo sio kuleta thread yangu, the problem ni namna umeileta kwa design ya masimango fulani, but mimi niko poa.
Tunaweza kuwa marafiki wazuri ukita mkuu 🤝
Hiyo ni tafsiri yako,wewe kutafsiri hivyo haihalalishi kua ni kweli mimi nimeleta huo uzi kwa design ya masimango, ukisoma comment niliyoiquote na kuweka huo uzi utaelewa,

Naona mimi kuuleta huo uzi imekuchoma sana,ukiniambia nidelete nitadelete tu.
 
Ulipaswa kumjibu maana yeye haelewi, angekuwa na nia ya kukashifu angekuja na mtazamo wake badala ya kuuliza
Mkuu wewe utakua ni mgeni kwa huyo mleta mada,
Halafu hata ukisoma comments zake humu utamjua tu,

Huyo ni maarufu kwa kukashifu imani za wengine,sio kwamba nimebahatisha bali anajulikana humu JF kwa tabia hiyo.
 
Ivi nilichokisikia kua wanawake wakiislam wakienda kuswali hawavaagi nguo ya ndani ni kweli au ?
Mwanamke katika Uislam ni kijakazi na chombo cha starehe hana heshima yoyote


Ufunuo 14:4 na Mambo ya Walawi 15:19–30 ni mistari inayofanana.


Kuzaliwa kwa mtoto yeyote wa kike ni hasara: Mhubiri (Ecclesiasticus) 22:3 “...na kuzaliwa kwa binti YEYOTE ni hasara” (kutoka katika Biblia ya New Jerusalem —Hii ni Biblia ya Kanisa Katoliki la Roma).


Ikiwa mwanamke atajifungua mtoto wa kiume, basi huwa najisi kwa siku 7. Lakini ikiwa atajifungua mtoto wa kike, basi huwa najisi kwa siku 14. Kwa maneno mengine, kuzaliwa kwa mtoto wa kike kunasababisha uchafu mara mbili: Mambo ya Walawi 12:2–5

“Waambie wana wa Israeli, ukisema, Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa KIUME, basi atakuwa najisi kwa muda wa SIKU SABA; kama siku za kutengwa kwake kwa sababu ya ugonjwa wake ndivyo atakavyokuwa najisi. Na siku ya nane govi la mtoto litatahiriwa. Naye ataendelea katika damu ya kutakaswa kwake siku THELATHINI NA TATU; hatagusa kitu kitakatifu, wala hataingia patakatifu, hata siku za kutakaswa kwake zitimie. Lakini akizaa mtoto wa KIKE, basi atakuwa najisi kwa muda wa WIKI MBILI, kama katika kutengwa kwake; naye ataendelea katika damu ya kutakaswa kwake siku SITINI NA SITA.”


Ni sawa kusema kwamba Mhubiri (Ecclesiasticus) 22:3 na Mambo ya Walawi 12:2–5 ni mistari inayofanana.


Ikiwa mwanamke atajaribu kumwokoa mume wake dhidi ya kupigwa kwa kumshika mwanaume mwingine sehemu zake za siri ili kumwondoa juu ya mume wake, basi mikono yake yote miwili lazima ikatwe: Kumbukumbu la Torati 25:11–12

“Ikitokea wanaume wanapigana pamoja, na mke wa mmoja wao akakaribia ili kumwokoa mume wake kutoka kwa anayempiga, naye akanyoosha mkono wake na kumshika sehemu zake za siri (kinena cha yule mwanaume mwingine), basi mikono yake yote miwili itakatwa; wala macho yako yasimhurumie.”


Baba wanaweza kuuza binti zao kuwa watumwa wa kike: Kutoka 21:7–8

“Ikitokea mtu akamuuza binti yake kuwa mtumwa wa kike, hatatoka kama watumwa wanaume watokavyo. Ikiwa hampendezi bwana wake kiasi kwamba hataki kumfanya kuwa suria bali anaruhusu akombolewe, hatakuwa na haki ya kumuuza kwa watu wa kigeni kwa kuwa amemtendea kwa hila.”


Binti hawarithi chochote ikiwa kuna wana wa kiume: “Mtu akifa na hana mwana, basi mtahamisha urithi wake kwa binti yake.” (Hesabu 27:8)
 
Hiyo ni tafsiri yako,wewe kutafsiri hivyo haihalalishi kua ni kweli mimi nimeleta huo uzi kwa design ya masimango? ukisoma comment niliyoiquote na kuweka huo uzi utaelewa,

Naona mimi kuuleta huo uzi imekuchoma sana,ukiniambia nidelete nitadelete tu.
Kaka basi tuache hili lipite
Bado nafasi ipo ya kuweka mambo sawa 🤝 sipendi malumbano hujui tu🙌
Tufanye hivi pale ulipokwazika na comment yangu niwie radhi mkuu 🙏
 
Bado nafasi ipo ya kuweka mambo sawa 🤝
Kwani ni mambo gani hayo ambayo hayapo sawa? labda mimi ndio siyajui!
sipendi malumbano hujui tu🙌
Kumbe wewe unalumbana? mimi wala silumbani bali nipo kwenye mjadala wa kawaida tu JF
Tufanye hivi pale ulipokwazika na comment yangu niwie radhi mkuu 🙏
Kwanini uwaze kua kuna sehemu nimekwazika?
Kumbe kujadili jambo na mtu hapa JF linasababishwa na mtu huyo ku amekwazika?
 
Back
Top Bottom