wanawake na

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake na singles wanabeba mzigo wa rushwa Kenya EACC Survey yafichua ukweli mchungu

    Kenya imeamka na reality check mob sana baada ya Ethics and AntiCorruption Commission (EACC) kutoa survey mpya ya 2025 na findings zake ni eyeopening kabisa. Kulingana na report, wanawake na watu single ndio wanatoa bribes mara nyingi zaidi kuliko wanaume au wale wako kwa ndoa. Why? Simple wao...
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake na wanaume hawachanganyikani msikitini?

    Ni kwa nini katika Uislamu wanawake na wanaume hawachanganyikani katika chumba kimoja msikitini?
  3. iamwangdamin

    JamiiForums Tanzania Wanawake na nishati safi

    PHOTOS BY ME : HAPPY WOMEN'S DAY . Leo tunapoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, tunatambua mchango mkubwa wa wanawake katika kujenga jamii bora na maendeleo ya taifa letu. Wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika familia na jamii, na sasa wana nafasi kubwa pia katika kuhamasisha matumizi ya...
  4. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mradi wa PAMOJA kukuza uchumi wa Wanawake na kuimarisha mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia

    Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania (PAMOJA) unaotarajiwa kuzinduliwa rasmi Machi 08, 2026 mkoani Geita na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima utaimarisha fursa za kiuchumi kwa wanawake wa vijijini na kuboresha upatikanaji wa huduma kwa...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa Kata ya Mbezi, Dar es Salaam: Hatuna maji, Wanawake na Watoto tunateseka

    https://www.youtube.com/watch?v=3QM423d5K-8 Baadhi ya Wananchi wa Kata ya Mbezi, jijini Dar es Salaam, wamelalamikia ukosefu wa maji katika mitaa yao, hali wanayosema imekuwa changamoto kubwa kwa wananchi, hususan Wanawake na Watoto. Wananchi hao wametoa wito kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso...
  6. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Kamishna wa Ustawi wa Jamii Dkt. Nandera Mhando ameongoza kikao cha Kamati tendaji ya Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake & Watoto

    Kamishna wa Ustawi wa Jamii Dkt. Nandera .E. Mhando ameongoza kikao cha Kamati tendaji ya Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Awamu ya Pili (MTAKUWWA II), kilichofanyika tarehe 11 Novemba, 2025 Jijini Dodoma. kikao hicho kilihudhuriwa na wajumbe kutoka Wizara...
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wanaojitokeza kwenye mikutano ya kampeni za CCM wengi wanaonekana kuwa ni wanawake. Hii maana yake nini?

    Wakuu Nimekuwa nikifatilia mikutano ya kampeni ya CCM kwa ukaribu na most of the time wale wahudhuriaji wanakuwa ni wanawake. Ukiangalia live zao Youtube wanaoonekana kuhudhuria kwenye mikutno ni wanawake, sauti zinazosikika kushngilia ni za wanawake na hata picha za social media zinazopostiwa...
Back
Top Bottom