Nelly boy
Member
- Dec 8, 2015
- 25
- 2
Hapo anakata na simu kbsNamba yako isijulikane kwani wewe raisi?
Hapo anakata na simu kbsNamba yako isijulikane kwani wewe raisi?
Anayetongoza hafanyi mazoezi yuko serious always.. Kutongoza nayo ni assignment msione tunakuja tuu..uchoyo wa kumpa nafasi ya kufanyamazoezi ya kutongoza au?
mmh kuna wengine wanafanyia practical kwetu siyo kila anayekuja kutongoza anamaanishaAnayetongoza hafanyi mazoezi yuko serious always.. Kutongoza nayo ni assignment msione tunakuja tuu..
ha ha ha haMi pia hayo ndo huwa majibu yangu pindi swali hilo linapoibuka
Ningekuwa mimi ningejibu hivi.
1. Kwanza, nimekusoma kama mtu ambaye anakubalika kwenye jamii, kama nilivyo mimi. Unajiheshimu kwa mavazi na kauli. U mcheshi na mkarimu kwa wote. Nimechukua muda kukuchunguza, sijakurupuka "from nowhere". Mimi si wale wanaojitosa kichwa-kichwa bila kwanza kumchunguza na kumfahamu kidogo mtu ninayetaka kujenga urafiki naye.
2. Pili, mti wenye matunda ndio upigwao mawe. Wewe ni mzabibu, tena mzabibu wenye zile zabibu zenye harufu na matunda yaliyo bora zaidi. Kwa nini nisivutiwe nawe mpaka nikaitafuta namba yako?
3. Kuna rafikiyo ambaye ni msiri wangu ndiye aliyenipa namba yako kwa masharti kwamba nisilitaje jina lake kwako iwapo ungeniuliza. Kwa kuwa nimekula kiapo, siwezi kumsaliti.
Tuendelee na mahusiano yetu. Kwangu sioni kikwazo, lakini iwapo hujaridhia, Binti Mwema, nieleza, nitaacha kukufuata.
Asante.
Wako Mtiifu.
--------------------
Hivi ndivyo ningemjibu hilo swali.
Sijui wengine wangemjibu kwa namna gani.
hata mimi naiomba namba yako bibie maana nimejaribu kuomba kwa watu lakini wameninyimammoja alinijibu eti kaiukuta imejisave tu kwenye simu... nikamjibu ifute sasa
Hii mbinu imesimama..mtaani kuna binti anajichengua...na kazi anayofanya ni ngumu sana kumpata na kuongea naye..ngoja nitafute namba yake!!Hawa wa siku hizi hilo swali hata hawaulizagi,ukiona umeulizwa ujue umeonekana haueleweki!
Anyway mimi huwa nikipata namba na iwapo nimekusudia kweli kumpata huyo muhusika huwa namtumia 50,000 kwa njia ya simu alafu nakaa kimya hadi apige yeye na wengi huwa wanapiga,akipiga unampongeza kwa kuwa na roho nzuri na ubinadamu alionao na baada ya hapo kazi ni kwako,asipopiga baada ya siku mbili namuandikia text nikimwambia kuwa nilikosea kumtumia hela juzi na sio mbaya kama akinirudishia hata nusu.hapa tayari unakuwa umelianzisha na hakuna kurudi nyuma.
Ha ha haUnamwambia ulinipa wewe siku tumekutana pale benki nimeenda kutuma pesa za kununua gari.
Nitakupa usijalihata mimi naiomba namba yako bibie maana nimejaribu kuomba kwa watu lakini wameninyima
Ha Ha Ha! Imejirekodi?!?!mmoja alinijibu eti kaiukuta imejisave tu kwenye simu... nikamjibu ifute sasa
Sorry imejisevu? alikosa jibu muafaka!Ha Ha Ha! Imejirekodi?!?!
Nakutongoza sasa,mimi najuaKwahiyo ulikosea namba halafu tena unamtongoza? Hivi inaingia tena akilini hapo? Kwa jibu lako hili tu naanza kuamini kuwa ni kweli Wanaume wengi wa siku hizi hawajui kutongoza.