Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Kuna vibaka ukikosea tu kutuma anaenda kutoa afu laini anaitoa humpati hewani utaishia kupishana nae huna cha kusema na mpunga wako keshakula.

UOTE="GlobalChick, post: 15284553, member: 279784"]Hawa wa siku hizi hilo swali hata hawaulizagi,ukiona umeulizwa ujue umeonekana haueleweki!

Anyway mimi huwa nikipata namba na iwapo nimekusudia kweli kumpata huyo muhusika huwa namtumia 50,000 kwa njia ya simu alafu nakaa kimya hadi apige yeye na wengi huwa wanapiga,akipiga unampongeza kwa kuwa na roho nzuri na ubinadamu alionao na baada ya hapo kazi ni kwako,asipopiga baada ya siku mbili namuandikia text nikimwambia kuwa nilikosea kumtumia hela juzi na sio mbaya kama akinirudishia hata nusu.hapa tayari unakuwa umelianzisha na hakuna kurudi nyuma.[/QUOTE]
 
Mkuu hakuna uchawi hata mimi sijui ila huwa naangalia interestkwanza demu anaye kukubali akikuona tu utamjua ukimuangalia tu usoni.
Hapo na mimi na adjust muonekano wangu na tabasamu kwa mbalii huku nikiandaa sauti yangu ya ki gentleman, halafu najisogeza pale.
Ila nahisi na haka ka spray huwa kanawavutia pia maana ukimkaribia tu na yeye anasogea aisikilizie ile spray vizuri na hapo ndo yale maneno matamumatamu yanapoanza kuchukua nafasi yake
Note: huwa naomba namba kwa wale wenye interest tu
Na sura hii ya kipole ni muhimu sana nimegundua.
aisee embu niambie spray gqn io.labda na mm watakua wanakuja kuja kwa kweli
 
Kwa wanaoshindwa kutumia wrong number
Mfano,
Juma ndo kachukua namba kwa jamaa ake anataka amtongoze salla mawasiliano ya mwanzo itakua hivi:SMS OR CALL
JUMA :MAMBO SALLA
SALLA : poa NAN MWENZANGU
JUMA:MIMI JUMA
SALLA :WAWAPI?
JUMA:BUNJU
SALLA :NAMBA YANGU UMEIPATA WAP?
JUMA: Namba yako huwezi amini nimeutafta sana sababu nilikua nataman sana kupata namba yako maana nilikua nikiwaza kila siku ku ntipataje nachokuomba salla naomba unisikilize malengo nini kwajo hadi nafanya hustle ya kutafta namba yako sihitaji sana hadi ujue namba yako kanipa nani bali nachokuomba usikilize madhumuni yangu ya kutafta no. yako amin mimi ni mtu mwema na nina malengo mazuri sana na ww salla.
SALLA:Utasikia salla anasema "Haya mway juma nakusikiliza unasemaje"
JUMA:Endeleaaaaaaa kutiririka sasa mitari mwanzo ushaumalizaaaaaaaaaaaa
 
Kuna vibaka ukikosea tu kutuma anaenda kutoa afu laini anaitoa humpati hewani utaishia kupishana nae huna cha kusema na mpunga wako keshakula.

UOTE="GlobalChick, post: 15284553, member: 279784"]Hawa wa siku hizi hilo swali hata hawaulizagi,ukiona umeulizwa ujue umeonekana haueleweki!

Anyway mimi huwa nikipata namba na iwapo nimekusudia kweli kumpata huyo muhusika huwa namtumia 50,000 kwa njia ya simu alafu nakaa kimya hadi apige yeye na wengi huwa wanapiga,akipiga unampongeza kwa kuwa na roho nzuri na ubinadamu alionao na baada ya hapo kazi ni kwako,asipopiga baada ya siku mbili namuandikia text nikimwambia kuwa nilikosea kumtumia hela juzi na sio mbaya kama akinirudishia hata nusu.hapa tayari unakuwa umelianzisha na hakuna kurudi nyuma.
[/QUOTE]
utaendlea kutuma nyng sana.
 
Mwambie namba yako kuna mtu kanipatia lkn kaomba nisimtaje. Komaa kibingwa na point hiyo.
Kisha eleza dhamira yako kuwa unampenda na unataka malavidavi.
 
mimi kuna mmoja aliniuliza swali kama hilo nikamjibu namba yako nimeipata kwa account yako ya FB akanielewa wakati hata hajaweka no yake....
 
Wanaume wamekuwa wakijifanya ni mabingwa kama siyo majabali wa kutongoza lakini mara baada tu ya ujio wa simu za mkononi hakika zimekuwa ni kama ni mateso makubwa kwao.

Nalisema hili kutokana na kwamba unaweza kumkuta mwanaume anapambana au anahangaika kuipata namba ya mwanamke fulani ambaye hajuani nae au labda namba yake kaipata tu kwa mtu ili aanze kumtongoza kwa simu ama kwa kumpigia au kumtumia meseji lakini imekuja kujulikana kuwa hakuna mtihani mgumu au swali gumu ambalo wanaume wengi hukumbana nalo na ambalo wengi wao hushindwa kulijibu na hatimaye kujikuta wanajichanganya na wanamkosa huyo mwanamke.

Utakuta mwanaume anaanza kujitutumua kwa kuwasiliana na huyo mwanamke lakini akiulizwa tu swali hili " je namba yangu umeitoa wapi au kakupa nani? " wengi wao hukata tamaa kabisa na hata kuishiwa tena nguvu za kuendelea kuwasiliana na yule binti au mwanamke kwani hakuna swali ambalo wanaume wengi hawalipendi na hawaliwezi kulijibu kama hilo.

Labda leo tupate uzoefu kutoka kwa wanaume ambao naamini humu mpo wengi ni kwanini wengi wenu pamoja na jeuri zenu zote mkiulizwa tu hilo swali tajwa hapo juu huwa mnajiumauma na hatimaye kusepa na kuishia kulalamika tu?

Na je unadhani majibu sahihi ya kumjibu mwanamke ambaye hujuani nae halafu umepata tu namba yake kwa mtu na unataka kumtongoza endapo atakuuliza hilo swali kuwa " namba yangu umeitoa wapi au namba yangu kakupa nani? " ni yapi au ni lipi?
"kutongoza ni sanaa ambayo ni wachache ndo mnaijua, sisi kwetu huku tunatumia uzoefu tu"
 
sina uzoefu wa kupata namba kupitia kwa wengine bali huwa nawaomba wenyewe na akisha kupa tu mchezo umeisha ila kama hajakupa yeye lazima uwe na mistari zaidi
 
Kufanikiwa kwako katika hili kutategemea na status yako (title, wealth, ufamous nk) au coincidence kwamba na yeye alikuwa amevutika kwa kiasi fulani. Aisee nje ya hapo utashushuliwa hadi libido inapotea kwa wiki
 
Mkuu huo uwongo nilishaufanya na ukanitokea puani kwa majibu kama haya:
  1. Niling'ang'ania namba alinipa mwenyewe akaniuliza wapi nikajishebedua kusema kuwa tulipokutana Kibaha kumbe Demu mwenyewe yeye ruti zake ni London, Cape Town na Washington tu. Mkuu niliumbuka we acha tu.
  2. Nikasema kuwa nilipewa na Rafiki zake akaniuliza ni akina nani hao kama kawaida yangu nikajishebedua kuwataja kumbe mwenzangu yeye siyo Mtanzania na amekuja tu kwa rafiki yake na ilikuwa Kesho yake anarudi kwao nchini Uganda. Nimeumbuka tena hapo mkuu!
  3. Nilishawahi kusema hivyo hivyo kuwa mimi ndiye wakala niliyemsajilia line yake akaniumbua kuwa yeye simu yake alinunuliwa na Mama yake na ndiye huyo huyo aliyemsajilia line yake hiyo. Mkuu nilijiona mdogo kuliko hata kidonge cha Piriton.
  4. Na kuna siku nikajishebedua kuwa alikuwa ni classmate wangu akaniuliza Chuo gani nikamtajia TEOFIL Kisanji University kumbe mwenzangu ndiyo kwanza alikuwa amerudi kutoka Chuoni Havard Univesrity huko Marekani ambayo mimi nafanya kuisikia tu kama siyo kuiona katika mitandao. Mkuu tokea nipate aibu hizo sasa nipo LIKIZO ya kuwatongoza Mademu au Wanawake hadi hapo nitakapojipanga upya.
Hahahahaaaaaaaa mbavu zangu mie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu hakuna uchawi hata mimi sijui ila huwa naangalia interestkwanza demu anaye kukubali akikuona tu utamjua ukimuangalia tu usoni.
Hapo na mimi na adjust muonekano wangu na tabasamu kwa mbalii huku nikiandaa sauti yangu ya ki gentleman, halafu najisogeza pale.
Ila nahisi na haka ka spray huwa kanawavutia pia maana ukimkaribia tu na yeye anasogea aisikilizie ile spray vizuri na hapo ndo yale maneno matamumatamu yanapoanza kuchukua nafasi yake
Note: huwa naomba namba kwa wale wenye interest tu
Na sura hii ya kipole ni muhimu sana nimegundua.


Mkuu nakaomba hako kajina ka Spray pia.......kanaweza maliza haka katatizo pia
 
Back
Top Bottom