Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

1.Unaandika sms hivi mfano "Juma vip Hizo million 5 ntakutumia kwa mpesa ili unichukulie ule mzigo wote huku Biashara inaendelea poa" hakikisha we mfanya Biashara alaf unaituma kama ume wrong numbe
2.oya Dulla Nipo chuo apa njo faster nimeksbir alaf naskia boom tayar , alaf unatuma kama ume wrong number kwa wewe mwana Chuo
3.Dogo nepoteza ID yangu pamoja na ATM zangu ebu nenda ghetto uchek, una wrong number hii ni kwa wale wafanyakazi wa maofisin kama vile, benki, ofisa yeyote au mwalimu unaweza tumia au daktari
. Zipo nyingi taja fani yako tukpe technic , chamsingi ni ule mwanzo tu nahuu ndo mwanzo mzur ila usifanye hiv kama huna sifa hiyo au usmfanyie dem wa JF maaana kashajua tayari ila weng sana huwanyaka bila shida kwa kutumia hiz mbinu. I'm out
 
thread, ni nzuri;
hapo majibu yanaweza yakawa hivi.
1.nang'ang'ana namba alinipa mwenyewe.
2.nimepewa na rafiki zake
3.mimi ndiye wakala niliyemsajilia nalazimisha hivyo
4.mm nilishawahi kuwa classmate wake few years ago.

Mkuu huo uwongo nilishaufanya na ukanitokea puani kwa majibu kama haya:
  1. Niling'ang'ania namba alinipa mwenyewe akaniuliza wapi nikajishebedua kusema kuwa tulipokutana Kibaha kumbe Demu mwenyewe yeye ruti zake ni London, Cape Town na Washington tu. Mkuu niliumbuka we acha tu.
  2. Nikasema kuwa nilipewa na Rafiki zake akaniuliza ni akina nani hao kama kawaida yangu nikajishebedua kuwataja kumbe mwenzangu yeye siyo Mtanzania na amekuja tu kwa rafiki yake na ilikuwa Kesho yake anarudi kwao nchini Uganda. Nimeumbuka tena hapo mkuu!
  3. Nilishawahi kusema hivyo hivyo kuwa mimi ndiye wakala niliyemsajilia line yake akaniumbua kuwa yeye simu yake alinunuliwa na Mama yake na ndiye huyo huyo aliyemsajilia line yake hiyo. Mkuu nilijiona mdogo kuliko hata kidonge cha Piriton.
  4. Na kuna siku nikajishebedua kuwa alikuwa ni classmate wangu akaniuliza Chuo gani nikamtajia TEOFIL Kisanji University kumbe mwenzangu ndiyo kwanza alikuwa amerudi kutoka Chuoni Havard Univesrity huko Marekani ambayo mimi nafanya kuisikia tu kama siyo kuiona katika mitandao. Mkuu tokea nipate aibu hizo sasa nipo LIKIZO ya kuwatongoza Mademu au Wanawake hadi hapo nitakapojipanga upya.
 
mmoja alinijibu eti kaiukuta imejisave tu kwenye simu... nikamjibu ifute sasa

Post yako hii imenifanya nicheke hadi natafuta Panadol kutuliza maumivu ya mbavu zangu. Asante kwa kunianzishia vizuri siku yangu ya leo. Sikuwahi kujua kuwa kumbe na wewe huwa na vituko humu kama vya Nifah.
 
basi ukiona hivo jua sio riziki' huwezi kula kisicho riziki then try one more chance, step for one else.
 
1.Unaandika sms hivi mfano "Juma vip Hizo million 5 ntakutumia kwa mpesa ili unichukulie ule mzigo wote huku Biashara inaendelea poa" hakikisha we mfanya Biashara alaf unaituma kama ume wrong numbe
2.oya Dulla Nipo chuo apa njo faster nimeksbir alaf naskia boom tayar , alaf unatuma kama ume wrong number kwa wewe mwana Chuo
3.Dogo nepoteza ID yangu pamoja na ATM zangu ebu nenda ghetto uchek, una wrong number hii ni kwa wale wafanyakazi wa maofisin kama vile, benki, ofisa yeyote au mwalimu unaweza tumia au daktari
. Zipo nyingi taja fani yako tukpe technic , chamsingi ni ule mwanzo tu nahuu ndo mwanzo mzur ila usifanye hiv kama huna sifa hiyo au usmfanyie dem wa JF maaana kashajua tayari ila weng sana huwanyaka bila shida kwa kutumia hiz mbinu. I'm out

Nifah, miss chagga, Victoire na Mademu wengine humu JF mpo? Ngoja nami nianze sasa hivi kutunga meseji za aina hiyo kisha nizitume kwa baadhi ya Mabinti ili niende sawa na hili baridi zuri la Kimahaba la leo jijini Dar. Asante mno mkuu kwa kunipa au kutupa Wanaume " maujanja " haya.
 
Hilo swali la namba siku hizi haliumizi kichwa

Swali gumu ni
je valentine dinner utanipeleka wapi?

Naona umepotea njia mkuu. Siku nyingine uwe unasoma kwanza uzi vizuri, shirikisha vizuri Ubongo wako kisha ndipo ujibu. Hatuzungumzii Valentines Day hapa. Simama katika mada huna cha kuchangia sepa tu usituchoshe.
 
Ningekuwa mimi ningejibu hivi.

1. Kwanza, nimekusoma kama mtu ambaye anakubalika kwenye jamii, kama nilivyo mimi. Unajiheshimu kwa mavazi na kauli. U mcheshi na mkarimu kwa wote. Nimechukua muda kukuchunguza, sijakurupuka "from nowhere". Mimi si wale wanaojitosa kichwa-kichwa bila kwanza kumchunguza na kumfahamu kidogo mtu ninayetaka kujenga urafiki naye.

2. Pili, mti wenye matunda ndio upigwao mawe. Wewe ni mzabibu, tena mzabibu wenye zile zabibu zenye harufu na matunda yaliyo bora zaidi. Kwa nini nisivutiwe nawe mpaka nikaitafuta namba yako?

3. Kuna rafikiyo ambaye ni msiri wangu ndiye aliyenipa namba yako kwa masharti kwamba nisilitaje jina lake kwako iwapo ungeniuliza. Kwa kuwa nimekula kiapo, siwezi kumsaliti.

Tuendelee na mahusiano yetu. Kwangu sioni kikwazo, lakini iwapo hujaridhia, Binti Mwema, nieleza, nitaacha kukufuata.

Asante.

Wako Mtiifu.

--------------------

Hivi ndivyo ningemjibu hilo swali.

Sijui wengine wangemjibu kwa namna gani.
 
Ningekuwa mimi ningejibu hivi.

1. Kwanza, nimekusoma kama mtu ambaye anakubalika kwenye jamii, kama nilivyo mimi. Unajiheshimu kwa mavazi na kauli. U mcheshi na mkarimu kwa wote. Nimechukua muda kukuchunguza, sijakurupuka "from nowhere". Mimi si wale wanaojitosa kichwa-kichwa bila kwanza kumchunguza na kumfahamu kidogo mtu ninayetaka kujenga urafiki naye.

2. Pili, mti wenye matunda ndio upigwao mawe. Wewe ni mzabibu, tena mzabibu wenye zile zabibu zenye harufu na matunda yaliyo bora zaidi. Kwa nini nisivutiwe nawe mpaka nikaitafuta namba yako?

3. Kuna rafikiyo ambaye ni msiri wangu ndiye aliyenipa namba yako kwa masharti kwamba nisilitaje jina lake kwako iwapo ungeniuliza. Kwa kuwa nimekula kiapo, siwezi kumsaliti.

Tuendelee na mahusiano yetu. Kwangu sioni kikwazo, lakini iwapo hujaridhia, Binti Mwema, nieleza, nitaacha kukufuata.

Asante.

Wako Mtiifu.

--------------------

Hivi ndivyo ningemjibu hilo swali.

Sijui wengine wangemjibu kwa namna gani.

Kuna mwenzako alijibu hivyo hivyo kama ulivyoandika hapo akaambiwa yeye ni " JINI " jamaa mpaka leo ameamua kipaumbele chake kiwe tu kupiga PUNYETO kwani anaona anasumbuka tu kila siku kutongoza halafu anatolewa nishai!
 
Post yako hii imenifanya nicheke hadi natafuta Panadol kutuliza maumivu ya mbavu zangu. Asante kwa kunianzishia vizuri siku yangu ya leo. Sikuwahi kujua kuwa kumbe na wewe huwa na vituko humu kama vya Nifah.
ha ha hahaha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwenzetu unaonekana huwa unaoga maji ya baharini kila siku kwani kwa upande wangu kwa wastani tu kwa mwezi nikimsimamisha Mwanamke au Demu kama 37 ambao huwa nabahatisha tena nayo ni kwa taabu sana kupata namba zao kutoka kwao wenyewe ni wawili tu. Nipe siri kuu ya mafanikio yako mkuu.
Mkuu hakuna uchawi hata mimi sijui ila huwa naangalia interestkwanza demu anaye kukubali akikuona tu utamjua ukimuangalia tu usoni.
Hapo na mimi na adjust muonekano wangu na tabasamu kwa mbalii huku nikiandaa sauti yangu ya ki gentleman, halafu najisogeza pale.
Ila nahisi na haka ka spray huwa kanawavutia pia maana ukimkaribia tu na yeye anasogea aisikilizie ile spray vizuri na hapo ndo yale maneno matamumatamu yanapoanza kuchukua nafasi yake
Note: huwa naomba namba kwa wale wenye interest tu
Na sura hii ya kipole ni muhimu sana nimegundua.
 
Mkuu huo uwongo nilishaufanya na ukanitokea puani kwa majibu kama haya:
  1. Niling'ang'ania namba alinipa mwenyewe akaniuliza wapi nikajishebedua kusema kuwa tulipokutana Kibaha kumbe Demu mwenyewe yeye ruti zake ni London, Cape Town na Washington tu. Mkuu niliumbuka we acha tu.
  2. Nikasema kuwa nilipewa na Rafiki zake akaniuliza ni akina nani hao kama kawaida yangu nikajishebedua kuwataja kumbe mwenzangu yeye siyo Mtanzania na amekuja tu kwa rafiki yake na ilikuwa Kesho yake anarudi kwao nchini Uganda. Nimeumbuka tena hapo mkuu!
  3. Nilishawahi kusema hivyo hivyo kuwa mimi ndiye wakala niliyemsajilia line yake akaniumbua kuwa yeye simu yake alinunuliwa na Mama yake na ndiye huyo huyo aliyemsajilia line yake hiyo. Mkuu nilijiona mdogo kuliko hata kidonge cha Piriton.
  4. Na kuna siku nikajishebedua kuwa alikuwa ni classmate wangu akaniuliza Chuo gani nikamtajia TEOFIL Kisanji University kumbe mwenzangu ndiyo kwanza alikuwa amerudi kutoka Chuoni Havard Univesrity huko Marekani ambayo mimi nafanya kuisikia tu kama siyo kuiona katika mitandao. Mkuu tokea nipate aibu hizo sasa nipo LIKIZO ya kuwatongoza Mademu au Wanawake hadi hapo nitakapojipanga upya.

Ukiwa umepaki range rover atakataa kuwa hamkuonana kibaha?

Isitoshe unaweza sema"anyway siyo mbaya nimekosea, ila sio mbaya tukifahamiana zaidi, naomba appointment yako."
 
Mkuu hakuna uchawi hata mimi sijui ila huwa naangalia interestkwanza demu anaye kukubali akikuona tu utamjua ukimuangalia tu usoni.
Hapo na mimi na adjust muonekano wangu na tabasamu kwa mbalii huku nikiandaa sauti yangu ya ki gentleman, halafu najisogeza pale.
Ila nahisi na haka ka spray huwa kanawavutia pia maana ukimkaribia tu na yeye anasogea aisikilizie ile spray vizuri na hapo ndo yale maneno matamumatamu yanapoanza kuchukua nafasi yake
Note: huwa naomba namba kwa wale wenye interest tu
Na sura hii ya kipole ni muhimu sana nimegundua.
Naomba ni pm iyo spray.
 
Ningekuwa mimi ningejibu hivi.

1. Kwanza, nimekusoma kama mtu ambaye anakubalika kwenye jamii, kama nilivyo mimi. Unajiheshimu kwa mavazi na kauli. U mcheshi na mkarimu kwa wote. Nimechukua muda kukuchunguza, sijakurupuka "from nowhere". Mimi si wale wanaojitosa kichwa-kichwa bila kwanza kumchunguza na kumfahamu kidogo mtu ninayetaka kujenga urafiki naye.

2. Pili, mti wenye matunda ndio upigwao mawe. Wewe ni mzabibu, tena mzabibu wenye zile zabibu zenye harufu na matunda yaliyo bora zaidi. Kwa nini nisivutiwe nawe mpaka nikaitafuta namba yako?

3. Kuna rafikiyo ambaye ni msiri wangu ndiye aliyenipa namba yako kwa masharti kwamba nisilitaje jina lake kwako iwapo ungeniuliza. Kwa kuwa nimekula kiapo, siwezi kumsaliti.

Tuendelee na mahusiano yetu. Kwangu sioni kikwazo, lakini iwapo hujaridhia, Binti Mwema, nieleza, nitaacha kukufuata.

Asante.

Wako Mtiifu.

--------------------

Hivi ndivyo ningemjibu hilo swali.

Sijui wengine wangemjibu kwa namna gani.
Duuu hii barua huwezi kutuma kwa sms
 
Back
Top Bottom