wamisako
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 917
- 873
1.Unaandika sms hivi mfano "Juma vip Hizo million 5 ntakutumia kwa mpesa ili unichukulie ule mzigo wote huku Biashara inaendelea poa" hakikisha we mfanya Biashara alaf unaituma kama ume wrong numbe
2.oya Dulla Nipo chuo apa njo faster nimeksbir alaf naskia boom tayar , alaf unatuma kama ume wrong number kwa wewe mwana Chuo
3.Dogo nepoteza ID yangu pamoja na ATM zangu ebu nenda ghetto uchek, una wrong number hii ni kwa wale wafanyakazi wa maofisin kama vile, benki, ofisa yeyote au mwalimu unaweza tumia au daktari
. Zipo nyingi taja fani yako tukpe technic , chamsingi ni ule mwanzo tu nahuu ndo mwanzo mzur ila usifanye hiv kama huna sifa hiyo au usmfanyie dem wa JF maaana kashajua tayari ila weng sana huwanyaka bila shida kwa kutumia hiz mbinu. I'm out
2.oya Dulla Nipo chuo apa njo faster nimeksbir alaf naskia boom tayar , alaf unatuma kama ume wrong number kwa wewe mwana Chuo
3.Dogo nepoteza ID yangu pamoja na ATM zangu ebu nenda ghetto uchek, una wrong number hii ni kwa wale wafanyakazi wa maofisin kama vile, benki, ofisa yeyote au mwalimu unaweza tumia au daktari
. Zipo nyingi taja fani yako tukpe technic , chamsingi ni ule mwanzo tu nahuu ndo mwanzo mzur ila usifanye hiv kama huna sifa hiyo au usmfanyie dem wa JF maaana kashajua tayari ila weng sana huwanyaka bila shida kwa kutumia hiz mbinu. I'm out