Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Naona umepotea njia mkuu. Siku nyingine uwe unasoma kwanza uzi vizuri, shirikisha vizuri Ubongo wako kisha ndipo ujibu. Hatuzungumzii Valentines Day hapa. Simama katika mada huna cha kuchangia sepa tu usituchoshe.


Mkuu ubongo wako unaonekana ni mkubwa lakin haujabeba chochote upo tu kama debe tupuu na unayatesa mabega na miguu kubeba ubongo mzito usio na chochote

Wapi hapa kulipoandikwa kwamba wewe unaweza kunipangia cha kucoment?...halafu wewe kama nani sepa na mada yako achana na comments zangu zipo hivyo tuu na siwezi kucomment kulingana na ubongo wako mzito!
 
Zamani mimi nlikuwa nawaambia NIMEOKOTA SIMU ,SASA KATIKA KUPEKUA KWENYE NAMBA ILI NIMPATE ANGALAU MTU WA KARIBU WA HUYO ALIYEPOTEZA NDO NKAJIKUTA NAKUPATA WEWE KWASABABU NAMBA NYINGINE ZOTE HAZIPATIKANI NA NYINGINE HAZIPOKELEWI , HIVO NLITAKA KUJUA KAMA KUNA MTU WAKO WA KARIBU ALIYEPOTEZA SIMU HIVI KARIBUNI?.. (hapo lazima ataniuliza nimeiokota sehemu gani, mimi ntamtajia eneo lolote tu lenye mkusanyiko wa watu hata kwanye daladala, alafu
na atataka nimtajie hiyo namba aangalie kama anamfahamu huyo aliepoteza simu, nitakata simu kujifanya ndo naangalia alafu ntampigia kisha ntamwambia either namba imefungiwa so haiwezekani kuangalia usajili, au ntamtajia namba yoyte nliokuwa nayo ambayo haipatikani au imefungiwa, yaani nnaeza nkamtajia hata namba yangu ya zamani, BAADA YA HAPO HUO MTEGO NTAKUWA NSHAUEPUKA SO KINACHOENDELEA NI KULA KUKU KWA MRIJA,
zipo njia nyingi saana aisee ila nimeitoa hiyo moja kama mfano tu.
 
mmoja alinijibu eti kaiukuta imejisave tu kwenye simu... nikamjibu ifute sasa
Hahahaaaaaa!
Yaani hilo jibu linanichoshaga, "simu uliokota?" Hapana, sasa namba inajisevuje? "hebu angalia zingine uzifute zitakuwa zimejisevu nyingi, maana hiyo simu ina tatizo kubwa"
 
Bro sometime unakuta huyo aliyekupa namba kakufanyia favour tu na kaomba usimtaje..Hapo inabidi ujiongeze
Ni kweli bro sema inategemeana na Mazingira na mtu mwenyewe kwa mfano umemtaka mke wa mtu na aliyekupa namba zake za simu labda ni mdogo wake huyo mke wa mtu ,kwa mazingira hayo huwezi kumtaja muhusika ,ila kwa hawa wanawake ambao hawajaolewa mimi sioni sababu ya kuficha nilipopata namba zao
 
Hahahaaaaaa!
Yaani hilo jibu linanichoshaga, "simu uliokota?" Hapana, sasa namba inajisevuje? "hebu angalia zingine uzifute zitakuwa zimejisevu nyingi, maana hiyo simu ina tatizo kubwa"
ha ha ha tatizo la kusave namba za wanawake
 
Ni kweli bro sema inategemeana na Mazingira na mtu mwenyewe kwa mfano umemtaka mke wa mtu na aliyekupa namba zake za simu labda ni mdogo wake huyo mke wa mtu ,kwa mazingira hayo huwezi kumtaja muhusika ,ila kwa hawa wanawake ambao hawajaolewa mimi sioni sababu ya kuficha nilipopata namba zao
Nimekusoma Uncle
 
jibu unamwambia nime Google jina lako na nikafanikiwa kupata jina lako na contact zako.unamsifia kuwa na wewe kumbe uko na Elimu ya juu akicheka unamuamisha story zingine.its very easy.

swissme
Kuna mtu alisema hivyo sikuamini ila nikagoogle wakati huo huo. Niliona ameniona mi boya kiasi cha kunidanganya uongo wa kitoto hadi kesho akisema yeye nani tu nakata simu.
 
Kuna mtu alisema hivyo sikuamini ila nikagoogle wakati huo huo. Niliona ameniona mi boya kiasi cha kunidanganya uongo wa kitoto hadi kesho akisema yeye nani tu nakata simu.
kwa nini ukate simu na tayari mmesgajenga line

swissme
 
Ni kheri umuombe mwanamke number yake uso kwa uso, na kama akikunyima unaweza kuitafuta kwa njia zingine kama kweli unania nae... au kama ikitokea hakuna nafasi kabisa ya kuonana nae lakini uakpata number yake, ukiulizwa hilo swali unamwambia ukweli ulipoitoa...
 
niliwahi pigiwa na hii simu, au niliosea au nipata text na bado unangoa hahaha
 
Mimi ukinipa namba umeumia na hilo swali lako linajibiwa bila hata utata
 
Natamani siku moja wanaume wote tusitishe kutongoza walau kwa miezi mitatu tu.. Nafkiri girls watajua umuhimu wakutongozwa..!
 
Nimeitafuta namba yako. Nimeipata kwa fulani. Nilihitaji sana kuipata. Sikuwa nayo. Sikuwa na namna zaidi ya kuiomba kwa rafiki yako. Mbona rahisi sana?
 
Back
Top Bottom