Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Hilo ndo swali rahisi, talk about their body, akikuuliza umenipendea nini?
mkuu haiko rahisi kama unavyodhani,
hapo utamkosa, I swear....
ndiyo maana Bruno Mars kaimba...Just the way you are, when i see yo face, nothing.........................
Jus the way you are, I feel like I am blessed to have a princess, I see light in my life(ole wako awe black)...
hili swali ni gumu, na hakuna eneo mwanamke yupo makini sana kusikiliza kama hapa,
and for your information, Ukimkosoa mwanamke chochote ktk mwili wake atakufa nalo take it from me,
kama ukiweza msifie mwanamke siku zote but usimkosoe kabisa ktk mwili wake hatasau mpaka kuzikwa.
 
Haha Kaboom bora hivyo kuliko kudanganya ,ujue uongo unatumia nguvu nyingi sana ,halafu pia sio Guarantee kwamba utampata ,sema kweli akileta za kuleta unazevenza utakutana na wengine mbele ya safari
Teh teh..kwa ishu za kazi/Biashara naweza kuwa wazi..Ila kwa totoz uongo unahusika sometimes
 
Kweli dunia imesonga mbele, na kilakitu kimekua rahisi sana now days[emoji2], yaani unatongozwa kwa kutumia sim[emoji15] .
Ngoja niwe mtazamaji tu hapa, nione wavulana wanavyo toa majibu maana mimi sikuwahi fanikiwa kutongoza kwa kutumia sim aiseeee....[emoji17]
Nakumbuka sikuzile nilikua nikitongoza kwa kumvizia mwanamke akiwa anatoka kisimani, wakatihuo unajitokeza na kumtwisha ndoo ya maji na hapo akiona kana kwamba umemsaidia, kumbe mwanaume unataka kuzoza[emoji13] , na hapo unakuta mtoto kanuna na ukipiga swaga hakujibu. Siku zile yaani unapiga timing kwa mdada akiwa ametumwa dukani, tena wakati huo nanaenda dukani akiwa anakimbia aiseee[emoji12] hapo lazima na mwanaume ukue unakibia huko ukizoza
 
Haha mkuu mimi nasemea hapo kwenye namba anapouliza nimetoa wapi ukweli nitamwambia ila baada ya hapo sasa sound lazima liwe na uongo kidogo hawa viumbe hawendi bila uongo unless kakupenda tu mwenyewe
Bro sometime unakuta huyo aliyekupa namba kakufanyia favour tu na kaomba usimtaje..Hapo inabidi ujiongeze
 
Kama demu mlaini atakuelewa ila mgumu mtagombana tu cha msingi angalia na demu nwenyewe yuko vipi kama mgumu jifanye tu ume wrong afu uanzie hapohaoo binafsi sina mda na mtu nisie mjua au kuchukua namba bila ridhaa ya muhusika.
 
Hawa wa siku hizi hilo swali hata hawaulizagi,ukiona umeulizwa ujue umeonekana haueleweki!

Anyway mimi huwa nikipata namba na iwapo nimekusudia kweli kumpata huyo muhusika huwa namtumia 50,000 kwa njia ya simu alafu nakaa kimya hadi apige yeye na wengi huwa wanapiga,akipiga unampongeza kwa kuwa na roho nzuri na ubinadamu alionao na baada ya hapo kazi ni kwako,asipopiga baada ya siku mbili namuandikia text nikimwambia kuwa nilikosea kumtumia hela juzi na sio mbaya kama akinirudishia hata nusu.hapa tayari unakuwa umelianzisha na hakuna kurudi nyuma.
 
Back
Top Bottom