Mkuu uko sahii kabisaResearch gani inaonyesha wanaume wanakufa mapema? kwa kiwango gani?
Katika kutafakari kwangu mie naona hata wanawake wengi tu wanakufa.... tena wanaanzia umri mdogo... wanatoa mimba, wanazaa kwa shida, wanaugua, wanajiua, wananyanyasika zaidi ya wanaume. Wanaume wanazaliwa wachache zaidi ya wanawake ndio maana wakifa tu pengo linaonekana. Wanawake wanazaliwa weeengi munoooooooo .... hata wakifa lile pengo halionekani.
Jaribu kuchunguza mwanamke anapokufa tu... hapo hapo nafasi yake inachukuliwa na mwanamke mwingine na hutaona mwanamume amebaki mjane... ni wachache sana! kwa hiyo pengo la kifo cha mwanamke huzibwa fasterrrr!!!! Kazi inakuja akifa mwanamume..... hakuna wa kuziba pengo... mjane anabaki anashangaa tu hakuna hata wa kumsogeza!.....
Sawa bossUmemaliza Boss hakuna tena mjadala hapo.
Mpaka kufa🏃🏃wanaume tumeumbwa matesoo, matesooo kuhangaika
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tunapunguza sumu kwa kwenda juani,nyie sijui mpaka mpigwe nondo ya kichwa ndo mnableed
Siji kuoaAfter they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)

Iwekewe lamination please, ila si wanawake wote wapo hivyo. Wengi wa hao ni Wacha--g*a, sasa wewe umejumuisha wote.After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)
Mmmmmmh! Hatari, kwa hiyo hawezi kupata hiyo sumu kwingine isipokuwa kwa vibibi tu? Kuna nini nyuma ya pazia kwa hivi vibibi??After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)
APROX. HAO WATOTO 4 NA BIASHARA NZURI KIPINDI HCHO ATAKUWA NA UMRI GANI NA YY?After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)