Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 10,614
- 20,017
Unavo elezea sasa kama ni simpo procidure kwenda huko kambini 😂😂😂😂Kabla ya kumkopesha mwanajeshi;Unatakiwa ufahamu namba yake ya utambulisho jeshini na Jina lake kamili(Kitambulisho cha taifa/mpiga kura kinahusika,manake mtaani hamkosi kuitana baba fulani bila kujua Jina halisi),kikosi/kambi aliyopo,halafu unamsainisha kwenye deni lake.
Siku ikitokea anazungusha kulipa usimpeleke polisi bali nenda kwenye kikosi chake,ukutane na wakubwa wake,kule watamuadabisha na utapata haki yako.Jeshi la Wananchi ni moja ya taasisi zenye nidhamu sana kwa ujumla wake 🤔