Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,125
Viongozi wa CCM hawaachiani maji wala msosi mezani. Ukienda kuongea na simu ukaacha maji aidha colorless water or maji ya dhahabu basi sharti uyamwage maana lolote laweza kutokea.
Haya matamshi yapo mioyoni mwa wengi na Kikwete aliwahi kuyasema, lakini pia unaweza kufanya utafiti binafsi kwenye bar au hotel wanapokutana viumbe hawa wa Mungu.
Najiuliza hii chuki mwisho wake nini?
Haya matamshi yapo mioyoni mwa wengi na Kikwete aliwahi kuyasema, lakini pia unaweza kufanya utafiti binafsi kwenye bar au hotel wanapokutana viumbe hawa wa Mungu.
Najiuliza hii chuki mwisho wake nini?