Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

Mkuu, mwanamke smart ana standard, wala haitaji kuhurumiwa. Kama Kaolewa, then baada ya muda kagundua mume havumiliki, ataomba talaka yake na Trust me kama ni smart na mrembo ataolewa tena tu na ikitokea asipoolewa mapema ataishi vizuri tu na in long run atakutana na mwenza wake watakayeelewana.
Natamani ingekuwa hivyo, kila kitu kina risk factors zake, kuolewa tena haimaanishi atapata ambaye yuko tofauti na yule aliyepita, So tell me atatakiwa kuvunja ndoa ngapi?

Shida inaanza pale ambapo jamii imekubaliana kuwa mwanaume ni kiumbe wa tamaa, tabia yake imekuwa justified, and he will always get away with everything….. Huyu huyu mtu anapaswa aoe mwanamke innocent kwaajili ya kumpa furaha na kujenga familia. Ain’t this questionable?
 
Kila siku huwa nasema jamii yetu iko Biased na UNAFIKI.

mambo mengi yanaangalia upande upi ufaidike na upi upate hasara, upi ubebe lawama, upi ubebe pongezi.

Ni hivyo, mwisho wa siku ni Mikanganyiko tyuuh.
Hebu tuishi ktk UKWELI na uhalisia.
 
Sasa mbona kelele au lawama zinajitokeza kwa wanawake wanao chepuka, ila kwa wanaume aaah.

Ndo maana yanajitokeza haya.
Yess ni mwanamke Malaya, haya tuendelee sasa.
Ok kama tmekubaliana basi ni hivi, mwanamke malaya na mwanaume malaya wote ni malaya ila utofauti upo kwenye matokeo ya huo umalaya.

Ukichukua wanaume 10 na wanawake 10 malaya wa mtaa walioamua kubadilika na kuacha umalaya, kisha wakaamua kusattle kwa kutafuta ndoa katika jamii hiyo hiyo, unadhani kati yao ni jinsia ipi watakaopata wenza na kusattle haraka na kwanini?
 
Natamani ingekuwa hivyo, kila kitu kina risk factors zake, kuolewa tena haimaanishi atapata ambaye yuko tofauti na yule aliyepita, So tell me atatakiwa kuvunja ndoa ngapi?

Shida inaanza pale ambapo jamii imekubaliana kuwa mwanaume ni kiumbe wa tamaa, tabia yake imekuwa justified, and he will always get away with everything….. Huyu huyu mtu anapaswa aoe mwanamke innocent kwaajili ya kumpa furaha na kujenga familia. Ain’t this questionable?
Para ya 2, hiki kitu jamii hakihitaji kabisa kujadili, sasa sijui wanataka nini. Lol
 
Ok kama tmekubaliana basi ni hivi, mwanamke malaya na mwanaume malaya wote ni malaya ila utofauti upo kwenye matokeo ya huo umalaya.

Ukichukua wanaume 10 na wanawake 10 malaya wa mtaa walioamua kubadilika na kuacha umalaya, kisha wakaamua kusattle kwa kutafuta ndoa katika jamii hiyo hiyo, unadhani kati yao ni jinsia ipi watakaopata wenza na kusattle haraka na kwanini?
Swadaktaaa!

Wanaume watapata wenza kwa haraka, kwa sababu ya wao kuwa provider, unaelewa nini namaanisha maana ya kuwa provider.
 
Natamani ingekuwa hivyo, kila kitu kina risk factors zake, kuolewa tena haimaanishi atapata ambaye yuko tofauti na yule aliyepita, So tell me atatakiwa kuvunja ndoa ngapi?

Shida inaanza pale ambapo jamii imekubaliana kuwa mwanaume ni kiumbe wa tamaa, tabia yake imekuwa justified, and he will always get away with everything….. Huyu huyu mtu anapaswa aoe mwanamke innocent kwaajili ya kumpa furaha na kujenga familia. Ain’t this questionable?
Mkuu, kuliko kumirror tabia ya umalaya wa mume bora uvunje hata ndoa 100. Ukiamua kumvumilia basi mvumilie bila wewe kukiuka standard zako maana mwanaume atakayekuingilia kisa mumeo ni malaya most of time atakudharau tu.

Halafu ukiona huwezi mvumilia we vunja ndoa maana si rahisi uwe na bahati mbaya hivyo kwamba we kila ukiolewa tu unaolewa na malaya. Kwanini uwe na gundu hivyo?
 
Hata kulombwa nje ili upewe pesa nayo n kazi ngumu, malaya hachagui mteja
Wengi wanaofanya ile kazi walishazoea mashambulizi, ngozi ya ndani inakuwa kama ya kiganja cha mkono, kwa hiyo hawaumii zaidi ya kuitega tu.
 
Hahaha, mkuu unaongelea kutokujua kibamia kwa mwanamke anayeishi 2026? rudi kwenye uhalisia mkuu, hizi si enzi zetu za kuandikiana barua za uchumba, sasa hivi mwanamke kuyaona maumbile ya mwanaume na kulinganisha na mumewe kunahitaji kukutana live na mwanaume?
Sasa bikra anakijuliwa wapi? Kukaa kwenye jamii iliyo kengeuka haina maana kwamba unakubaliana nayo, wewe unazani wanaoishi kwenye nchi zilizo ruhusu maswala uhalali wa ndoa za jinsia moja ,unazani wote wanakubaliana nayo,kisa wanaishi kwenye mwaka 2026?

Kama jamii ile dhana ya uwajibikaji ipo kwa wachache sana, zamani wazazi walikuwa wanawajibika kwenye kumlea na kumfundisha mambo mema mtoto na binti alikuwa anawajibika kujitunza.Ndio maana hata ndoa,familia na jamii zilikuwa ni bora ,kila mtu anawajibika,wajibika kwa familia yako usiangalie trend ya jamii husika current inafanya nini.
 
Back
Top Bottom