Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 6,289
- 10,964
Duh..! Halafu bado watu wanaoa😀Wakienda kuwasalimia mama zao huwa wanakutana na X wanaliwa hukohuko. Kinachoumiza ndugu huwa wanajua lakini wanapiga kimyaView attachment 3555071
Duh..! Halafu bado watu wanaoa😀Wakienda kuwasalimia mama zao huwa wanakutana na X wanaliwa hukohuko. Kinachoumiza ndugu huwa wanajua lakini wanapiga kimyaView attachment 3555071
Waume zao hawawapi hizo hela za vikundi??Wanataka hela ya vikoba
hamboreshe matunzo ndugu wanandoa,na ugomvi wa nara kwa mara huleta ukakasi,akikutana na anaejua kubembeleza japo usiku mmoja tu anafunguka ba moyo anakupa hajali kitu kama amekutana na strangerNauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote nimekuja kugundua ni wake za watu na wote wamekubali na 5 nimetoka nao na 3 wananisumbua
Nauliza kwanini wake za watu ndio wanagawa sana kuliko wasichana wa kawaida
Ndoa zipo salama kweli nawaza Sana tunaelekea wapi?
Umalaya ndo sababu hakuna cha victim.Kwa sababu wanaume waliowaoa wanazingua...
Mwanamke akishamfuta mwanaume moyoni mwake, haoni shida kuanzisha mahusiano mapya hata kama kaolewa...
Hivyo hao unaokutana nao ni victims wa wanachopitia kwenye ndoa zao...
Kwani nyinyi wenzetu mnaishi jamii zipi mpaka mnaamimi bikira ni suluhu ya uzinzi? Malaya wote walikuwa na bikra. Kuna mtu mpaka anamaliza kidato cha sita unakuta hana shida halafu anaolewa mnashangaa ghafla bin Vuu zinaanza tamaa za smart phone mara kaingia vikoba vya ela nyingi ndani ya mda mfupi tu TAYARI na aliolewa na bikira yake.Hii kawaida as long hujamkuta bikra basi anaprobability kubwa ya kuchepuka.
Kuna wengine wala hawakuwa malaya, wanaanza umalaya ndani ya ndoa na unaweza kukuta sababu ni sisi Wanaume 🤣Ndo shida ya kuoa malaya
N sababu gani ww itakayokufanya uchepuke?Cases ziko tofauti.
Kuna wanaochepuka sababu ya tatizo la kiuchumi lililotokea kwenye familia ambalo halikuwepo, kama anaona anashindwa kuhimili na nje anaweza kupata….. then….
Hapo hapo kwenye uchumi, kuna mwingine ameolewa na mwanzo alikuwa yuko okay na hali ya uchumi wa familia, gafla katika pita pita akajiona anaweza kupata huko nje akaleta ndani. Hii ndio TAMAA ya kumiliki mali. Hili kundi ni ngumu kulitetea 😅
Nyingine ni abuse, hasa emotional neglect & abandonment. Since “mmekubaliana” upendo/mapenzi sio sababu ya pekee ya kumuoa mtu, wanaume wengi wanaoa kwaajili ya mambo wanayoyajua wao nje na kupenda… Shida inakuja mkishawaoa mnawa-waacha hapo nyie wanaume mna endelea na maisha yenu (kwa wanawake mnaowapenda ila hamkutaka kuwaoa) Dhana ya upendo/urafiki inakosekana na hawa wamama kama walivyo binadamu wote lazima atafute wa kufurahi nae….. Na huu ndio uchepukaji mgumu sana kuuacha mwanamke akishauanza. Hili kundi naweza kuwatetea 😩
Kwa upande wangu sababu kubwa naona ni hizo.
Kvp?Kuna wengine wala hawakuwa malaya, wanaanza umalaya ndani ya ndoa na unaweza kukuta sababu ni sisi Wanaume 🤣
hii kali na ndiyo ukweliShida kubwa ya wanaume mlio wengi mnao wake za watu kwanini wasichepuke maana hata wewe anakuweka kwenye kundi moja tu la wachepukaji
Bikra ndio suluhisho katika mia basi watakao kengeuka hawazidi watano, ila ukichukua ambao hawana bikra watakao kengeuka ni zaidi ya asilimi sabini? Hivi huoni kesi za kuchepuka kwa wanawak zimekuwa nyingi na wengine wanaujasiri wa hali ya juu siku hizi.Kwani nyinyi wenzetu mnaishi jamii zipi mpaka mnaamimi bikira ni suluhu ya uzinzi? Malaya wote walikuwa na bikra. Kuna mtu mpaka anamaliza kidato cha sita unakuta hana shida halafu anaolewa mnashangaa ghafla bin Vuu zinaanza tamaa za smart phone mara kaingia vikoba vya ela nyingi ndani ya mda mfupi tu TAYARI na aliolewa na bikira yake.
Mkuu demu yoyote yule uliye date nae ujanani hata kama ulimucha kwa nyondo namna gani akija kuolewa zikapita miaka hata kumi siku mkionana panapo nafasi unapewa bila kuomba upya labda ikukute umeshaokoka tu.hii kali na ndiyo ukweli
Hujawahi kukosea Mahi, ukitoa neno bas neno kweli.Cases ziko tofauti.
Kuna wanaochepuka sababu ya tatizo la kiuchumi lililotokea kwenye familia ambalo halikuwepo, kama anaona anashindwa kuhimili na nje anaweza kupata….. then….
Hapo hapo kwenye uchumi, kuna mwingine ameolewa na mwanzo alikuwa yuko okay na hali ya uchumi wa familia, gafla katika pita pita akajiona anaweza kupata huko nje akaleta ndani. Hii ndio TAMAA ya kumiliki mali. Hili kundi ni ngumu kulitetea 😅
Nyingine ni abuse, hasa emotional neglect & abandonment. Since “mmekubaliana” upendo/mapenzi sio sababu ya pekee ya kumuoa mtu, wanaume wengi wanaoa kwaajili ya mambo wanayoyajua wao nje na kupenda… Shida inakuja mkishawaoa mnawa-waacha hapo nyie wanaume mna endelea na maisha yenu (kwa wanawake mnaowapenda ila hamkutaka kuwaoa) Dhana ya upendo/urafiki inakosekana na hawa wamama kama walivyo binadamu wote lazima atafute wa kufurahi nae….. Na huu ndio uchepukaji mgumu sana kuuacha mwanamke akishauanza. Hili kundi naweza kuwatetea 😩
Kwa upande wangu sababu kubwa naona ni hizo.