Ndoa zisingekuwepo mwaya 😩
I will leave lakini mwajuma, pili, na Raheli je? sio kila mtu ataweza kuondoka, na hata akiondoka huko aendako ndio bora?
Tangu wanaume mlipokataa kuwajibishana kwenye hili, it does not seem to help . Mambo ndio kwanza yanazidi kuwa mabaya.
I hope kuna siku mtaelewa kwanini kwenye baadhi ya mambo huwa nakomaa na mwanaume, simple katika sayansi ya kuhusiana… Mwanamke ni reciprocater, in most cases atakurudishia kile ulichompa.
It’s natural justice, you can not pour from an empty glass.