bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,841
Kwanza biashara ya utumwa ilikuwepo mataifa yote na hao wazungu ndiyo walikuwa mstari wa mbele kusafirisha hiyo 'bidhaa' kutoka afrika magharibi kwenda Marekani. Soma historia kijana.Mwarabu huyu huyu aliyeendesha biashara ya utumwa Pwani na bagamoyo na anaetesa wafanyakaz wa ndani huko saudia au mwingine/?kweli unamahaba na waarabu kijanaa, ungekuwa demu ungewapa tigo
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Pili hao waafrika mababu zenu ndiyo walishiriki kikamilifu kwenye hiyo biashara kwa kuwauza waafrika wenzao kwa hao waarabu na wazungu waliokuwa wakifanya biashara hii.
Tatu wanaotesa wafanyakazi hata nyinyi watanzania mupo wengi tu, tena mateso mabaya sana yasiyo na mfano.
Ukimnyooshea mwenzako kidole kimoja, vinne vinakunyooshea wewe.
