Kwanini Waisrael walikataa kuja Uganda?

Kwanini Waisrael walikataa kuja Uganda?

nasikia ilipangwa na wakubwa kuwa waisrael watafutiwe eneo uganda na kuhamishiwa hapo. hilo ndo lingekuwa taifa lao. ajabu nasikia ni waisrael wenyewe walioanza kuukataa katakata mpango huo. wajuzi naomba mnijuze;

1. kwanini hawa jamaa walikataa kuhamia uganda kwenye mito na ardhi yenye rutuba tele na kukubali kule middle east kwenye joto kali na migogoro isiyokwisha?!!! au kuna kitu wanafahamu kuhusu afrika ndo maana wakajikimbilia zao?

2. mnafikiri kama wangepewa kipande flani cha ulaya, amerika au asia wangekataa pia? wajuzi naomba mnieleweshe kidogo maana sielewi elewi (nahisi kama afrika kuna jambo flani la giza hv (litatokea) na hawa jamaa weupe wanalijua vizuri).

karibuni kwa kutoa elimu!
Siyo kweli kuwa ilikuwa Uganda, bali walikuwa wamepewa kule kwenye nyanda za juu za rift valley huko Kenya. Walikataa kwa sababu waliitaka ardhi ya Israeli ya King David. Kuna sehemu nyingine nzuri zaidi ya Israel wakati huo walizopewa lakini wao waliitaka hiyo hiyo Kanaan yao. Kwa mfano walipewa sehemu fulani ya Urusi, sehemu fulani ya Australia, sehemu fulani Argentina, sehemu fulani ya Japan, Sehemu fulani ya Ethiopia, na sehemu fulani Guiyana lakini zote wailizikataa wakaamua kurudo kwao jangwani.
 
nasikia ilipangwa na wakubwa kuwa waisrael watafutiwe eneo uganda na kuhamishiwa hapo. hilo ndo lingekuwa taifa lao. ajabu nasikia ni waisrael wenyewe walioanza kuukataa katakata mpango huo. wajuzi naomba mnijuze;

1. kwanini hawa jamaa walikataa kuhamia uganda kwenye mito na ardhi yenye rutuba tele na kukubali kule middle east kwenye joto kali na migogoro isiyokwisha?!!! au kuna kitu wanafahamu kuhusu afrika ndo maana wakajikimbilia zao?

2. mnafikiri kama wangepewa kipande flani cha ulaya, amerika au asia wangekataa pia? wajuzi naomba mnieleweshe kidogo maana sielewi elewi (nahisi kama afrika kuna jambo flani la giza hv (litatokea) na hawa jamaa weupe wanalijua vizuri).

karibuni kwa kutoa elimu!
Waisraeli asili yao ni Israel ndio nchi yao ya ahadi chimbuko lao na mtu kwao hata kama kunamazingira magumu kiasi gani, ndio maana wao walikataa kupelekwa Uganda kwenye ardhi yenye rutuba na mito na hiyo ilitokana na matendo walioyapata ugenini GERMANY kwa Hitler. Na hii sio ajabu mfano mdogo: Somalia 1991 vilivozuka vita MAREKANI iliamua kuwachukua wakimbizi wa Somalia wenye asili ya Tanzania(WAZIGUA) kuwapatia uraia wa marekani, baadhi yao wakakataa kwenda USA na kuomba warudi kwenye nchi yao ya asili Tanzania tanga, na mpaka sasa hivi wapo
 
Siyo kweli kuwa ilikuwa Uganda, bali walikuwa wamepewa kule kwenye nyanda za juu za rift valley huko Kenya. Walikataa kwa sababu waliitaka ardhi ya Israeli ya King David. Kuna sehemu nyingine nzuri zaidi ya Israel wakati huo walizopewa lakini wao waliitaka hiyo hiyo Kanaan yao. Kwa mfano walipewa sehemu fulani ya Urusi, sehemu fulani ya Australia, sehemu fulani Argentina, sehemu fulani ya Japan, Sehemu fulani ya Ethiopia, na sehemu fulani Guiyana na sehemu fulani ya Ethiopia, lakini zote wailizikataa
anhaa, ahsante kwa elimu hii. inaonekana hawataki kupoteza hata chembe ya asili yao!
 
Waisraeli asili yao ni Israel ndio nchi yao ya ahadi chimbuko lao na mtu kwao hata kama kunamazingira magumu kiasi gani, ndio maana wao walikataa kupelekwa Uganda kwenye ardhi yenye rutuba na mito na hiyo ilitokana na matendo walioyapata ugenini GERMANY kwa Hitler. Na hii sio ajabu mfano mdogo: Somalia 1991 vilivozuka vita MAREKANI iliamua kuwachukua wakimbizi wa Somalia wenye asili ya Tanzania(WAZIGUA) kuwapatia uraia wa marekani, baadhi yao wakakataa kwenda USA na kuomba warudi kwenye nchi yao ya asili Tanzania tanga, na mpaka sasa hivi wapo
🙏🙏🙏
 
Walipewa eneo na UN acha ubishi na hii ilikua ni kabla ya mwaka 1948 ambao ni mwaka nchi ya israel ilianzishwa kama sikosei, kabla ya hapo walikua wanaishi Germany na nchi nyingine za ulaya ila kutokana na mateso ya adolph hitler wakaomba UN iwatafutie eneo na walipewa Uganda lakini walikataa, baada ya kutokubali kwenda Uganda wakaamua kwenda eneo ambalo wapo leo hii kwa kufuata hadithi za kwenye Bible na wakawakuta wapalestine
Walipewa Uganda au Argentina walikataa maana walitaka sehem yenye asili yao nadhani ndio maana walipewa jangwa la Negeb wakiamini wangekata tamaa jamaa David akakubali na kuahidi atalisha dunia kutoka jangwani
 
Walipewa Uganda au Argentina walikataa maana walitaka sehem yenye asili yao nadhani ndio maana walipewa jangwa la Negeb wakiamini wangekata tamaa jamaa David akakubali na kuahidi atalisha dunia kutoka jangwani
Jamaa david ndo nani mkuu
 
Story zingine bwana hazina kichwa wala miguu,kwa miaka hiyo yote 1947 iliyopita walipo ondoka wake warejeshwe 1948 yani miaka yote 1947 hawakuona umuhimu wa kurudi kwao?
Kumbuka hata walipokuwa Misri walikaa utumwani miaka 430 ndiyo wakarudi kwao
 
Waisraeli sio makaburi, wanajua nchi yao ilipo na wanao ushahidi wa kutosha kuwa mahali walipo ndio kwao. Kama Jerusalem ingeweza kuhamishiwa Uganda, wangekubali kwenda Uganda.

Vv
Haa haa hawakutaka kuitwa wakuja
 
Siyo kweli kuwa ilikuwa Uganda, bali walikuwa wamepewa kule kwenye nyanda za juu za rift valley huko Kenya. Walikataa kwa sababu waliitaka ardhi ya Israeli ya King David. Kuna sehemu nyingine nzuri zaidi ya Israel wakati huo walizopewa lakini wao waliitaka hiyo hiyo Kanaan yao. Kwa mfano walipewa sehemu fulani ya Urusi, sehemu fulani ya Australia, sehemu fulani Argentina, sehemu fulani ya Japan, Sehemu fulani ya Ethiopia, na sehemu fulani Guiyana lakini zote wailizikataa wakaamua kurudo kwao jangwani.
Ni Uganda
 
Siyo Uganda, ni maeneo ya Rift valley Kenya. Eneo lote lile la Kenya na Uganda lilikuwa ni koloni la waingereza wakiitwa Britrish East Africa Hakukuwa na Kenya au Uganda wakati huo.
Sawa
 
Kama wewe ni muislam au ni mkristo unajua kabisa kwamba israelites kwao ni pale Jerusalem na huo ugomvi wao na hao ndugu zao wa kambo ni 5000 iliyopita unless una mashaka na imani yako
Hizi story za imani fake za ajabu sana. Ni sawa wangoni watake kurudi south Afrika eti kudai ardhi mababu zao walipokuwa wanaishi. Au aje mtu hapo kwenu adai ni kwake eti Mungu wake kasema hilo eneo ni nchi yake ya ahadi
 
Back
Top Bottom