Ndio maana nikasema wanaouawa huko msumbiji hata kama ni makafiri lakini bado sio sawa, na wala hatusapoti kuuliwa kwao dhidi ya hao wanaotumika kwa kivuli cha dini. Uislamu unakataza kufanya huo unyama, uislamu unakataza kuuwa wasio na hatia, je! Utaamini vipi hao ni waislamu ilhali wanachokifanya kipo nje na mafundisho ya dini yetu!
Israel anachokifanya kwa wapalestina sio sawa, wamevamia ardhi ya watu halafu wao ndio waonekane wako kihalali kuliko waliowakuta/wenyeji, huo ni ushenzi kabisa, na isitoshe wanafanya mauwaji, kwa watoto, wamama, wazee n.k. hata kama ni huku utaruhusu hayo?? Acheni kutetea hao nguruwe pori
Uislamu ni amani, haipendi vita, hata huko msumbiji yanayotokea usidhani tunafurahia, huko south afrika wameuwa wageni usidhani pia tunafurahia. Lakini inapotokea waislamu wakionewa, kuteswa na kuuawa dhidi ya makafiri hatutaelewana mzee, lazima we stand on them sisi kama ndugu zao.
Allah awasimamie na aendelee kuilinda na kuwalinda wapalestina dhidi ya makafiri wa kiyahudi.