Kwanini wahandisi hatupewi kipaumbele na wanawake?

Kwanini wahandisi hatupewi kipaumbele na wanawake?

Wanawake hatujawahi jua tu kama na nyie mna hela inawezekana kuliko hao wengine. Toka niwe karibu na engineers (civil) nimetamani hadi kudate engineer maana mnalipwa vizuri jamani.
Hahahahaa PESA zikakuvutia
 
Yes mkuu nimeomua kufunguka ya kweli japo kuna watu watakuja kupinga kinafki japo ukweli ndio huu kuwa engineers hatuogi na hatupo romantic kabisa.Engineer kuoga kwake ni adhabu kama adhabu nyingine.Engineer ukimwambia afanye mtihani wa hesabu na asipopata kuanzia C atapata adhabu au akaoge tu mara moja basi atachagua kufanya huo mtihani kupoteza masaa matatu kuliko kuoga dakika 5 tu.

Huyu ndio Engineer na sio rahisi kupendwa na warembo zaidi ya engineers wenzetu ambao tunakuwa nao discussion kuanzia asubuhi mpaka majogoo na hakuna aliyeenda kuoga.Hahahhahahaha Pia ulisahau kuwa Engineers wa kike wanasura zinazofanana na yule aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii
hahahahaa wallahi, Miaka ya Nyuma Pale CoET kulikuwa na madem ambao ukimpeleka UDBS anafaanana na baadhi ya wanaume, sasa nani atamvutia ase?
 
Sana jamani. Mnalipwa vizuri sana nyie watu au labda iwe ofisini kwetu tu ndo wanalipa engineers vizuri.
by the way wanalipwa hasa kwa contract, ila kwa wale wa ofisini mf Tanroads (hawa ni civil) wanalipwa mpaka laki moja per day wakiwa site na hio ni tofauti na mshahara
 
Wanasema sisi Engineers ni wachafu sana kimwili ila kiakili ni wasafi.Uchafu wetu wa mwili ndio unatuponza,nadhani tukianza kuoga kila siku inaweza kusaidia..
Hii inauhalisia maana hata sikumbuki mara ya mwisho nilioga lini
Mambo ni mengi, vitu ni vingi engineer[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
by the way wanalipwa hasa kwa contract, ila kwa wale wa ofisini mf Tanroads (hawa ni civil) wanalipwa mpaka laki moja per day wakiwa site na hio ni tofauti na mshahara
Duuuuh.. TCU sijui kwanini hawakunipeleka huko jamani. Ila chief mko vizuri.
 
hata sisi wachumi sijui tumewakosea nini wanawake wa Tanzania asee..yani hawatushobokei kabisa!!
 
Nimeona mara nyingi wanawake wakiwashobokea Waalimu, Madaktari, Wanasheria na baadhi ya watu wa career fulani fulani cha ajabu nimeona ma Engineer hatupewi priority wala kushobokewa na wanawake sasa swali linakuja hapa; kwanini nyinyi wanawake hamtushobokei sisi ma Engineer au kutupa kipaombele sawa na hao wengine?
Umeamua mwenyewe kukaa shaghalabaghala...usiulaumu ulimwengu. Chema chajiuza....
 
Duuuuh.. TCU sijui kwanini hawakunipeleka huko jamani. Ila chief mko vizuri.
ila hatu enjoy kama wengine...toka advance maisha magumu na PCM chuo ndo kabisaa mpaka mtaani sometime unalala mpaka kambi
 
ila hatu enjoy kama wengine...toka advance maisha magumu na PCM chuo ndo kabisaa mpaka mtaani sometime unalala mpaka kambi
Lakini malipo mazuri. Huwa najuta sana kukutosoma civil engineering
 
Wanawake hatujawahi jua tu kama na nyie mna hela inawezekana kuliko hao wengine. Toka niwe karibu na engineers (civil) nimetamani hadi kudate engineer maana mnalipwa vizuri jamani.
Tatizo mmekariri wale wakaka wasafi, mateller wa bank ndo wenye hela.[emoji1] [emoji1]
 
wakati masoma dit, mademu wa cbe walikuwa wanasema yaani nyie mkimaliza mna akili mnasomea engineering basi we full kuwatafuna
 
Mmhh! Tuambie kwanza wewe ni injinia wa nini? Usikute injinia wa trekta!! Hahah loh
Btw tumekuskia mkuu kuwa wewe ni le super engineer,watakuja..[emoji3] ilaaa nyie bwana mnatukata na miwembe mnatuchoma na mibsbis kwenye misuruale yenuu!!! Mwisho..muda wa kuihudumia ndoaa nyiee mpo na milaptop yenuu mnachorachora tu maramani sijui manini!![emoji30] viatu hadi juu ya TV aaghh Mnatuchoshaaa!!!!!![emoji125] [emoji126] [emoji126]
 
Back
Top Bottom