Sijawaelewa kabisa wabunge wa maeneo ya ziwa Tanganyika kupinga hoja ya waziri ya kulifunga ziwa kwa kipindi Cha miezi 3 ili kuruhusu samaki kuzaliana kwa wingi na kuingezeka.
Sisi wananchi tunakubaliana asilimia 100 na hoja ya waziri kwasababu tunauona samaki wanao vuliwa kwa sasa ni wadogo sana na wameadimika.
Mfano samaki aina ya Kuhe ambao zamani walikuwa wengi sana lakini kwa sasa kadiri siku zinavyo kwenda wanazidi kuadimika!!!
Samaki aina ya migebuka wanao patikana ni wadogowadogo!!!! Bei Iko juu.
Wabunge wetu acheni siasa kwenye mambo ya msingi kuweni wakeeli, Zingatieni masilahi ya wananchi sio kupinga tu kila kitu, hata sisi ambao sio wasomi tunaona kuna manufaa makubwa endapo ziwa litafungwa kwa muda kuliko Hali ilivyo sasa.
Sisi wananchi tunakubaliana na lengo la wizara kwa faida ya wavuvi, ni Bora tuvumilie kwa kipindi Cha miezi 3 ili tupate manufaa makubwa zaidi kuliko kubangaiza kama ilivyo sasa hakuna kitu.
Tunaiomba wizara iendelee na utaratibu ili kuinua uchumi wa wavuvi.
Wavuvi kutoka Pwani ya Kibirizi na katonga mkoani KIGOMA.
Wananchi washirikishwe Kikamilifu ili wajue faida ya zoezi hilo la kufunga ziwa.
Sisi wananchi tunakubaliana asilimia 100 na hoja ya waziri kwasababu tunauona samaki wanao vuliwa kwa sasa ni wadogo sana na wameadimika.
Mfano samaki aina ya Kuhe ambao zamani walikuwa wengi sana lakini kwa sasa kadiri siku zinavyo kwenda wanazidi kuadimika!!!
Samaki aina ya migebuka wanao patikana ni wadogowadogo!!!! Bei Iko juu.
Wabunge wetu acheni siasa kwenye mambo ya msingi kuweni wakeeli, Zingatieni masilahi ya wananchi sio kupinga tu kila kitu, hata sisi ambao sio wasomi tunaona kuna manufaa makubwa endapo ziwa litafungwa kwa muda kuliko Hali ilivyo sasa.
Sisi wananchi tunakubaliana na lengo la wizara kwa faida ya wavuvi, ni Bora tuvumilie kwa kipindi Cha miezi 3 ili tupate manufaa makubwa zaidi kuliko kubangaiza kama ilivyo sasa hakuna kitu.
Tunaiomba wizara iendelee na utaratibu ili kuinua uchumi wa wavuvi.
Wavuvi kutoka Pwani ya Kibirizi na katonga mkoani KIGOMA.
Wananchi washirikishwe Kikamilifu ili wajue faida ya zoezi hilo la kufunga ziwa.