- Thread starter
- #41
Congo watatusikiliza sisi. Itifaki itafanyika na watakubali.Congo wamekataa Ziwa lisifungwe.
Wenye akili wanajua faida yake.
Congo watatusikiliza sisi. Itifaki itafanyika na watakubali.Congo wamekataa Ziwa lisifungwe.
Kimsingi ni makubaliano ya nchi wanachama wanaozunguka ziwa Tanganyika lakini pia najua wanawalenga zaidi wavuvi wakubwa wanaovua na kuuza samaki nje ya nchi Hawa wavuvi wa ndoano kando ya ziwa wataendlea japo chini ya uangalizi mkaliBurundi na Congo nako litafungiwa au watatusaidia kuvua na kutuuzia
Ni uamuzi wa nchi zote 4.....mpaka mwezi wa 8......Ziwa Tanganyika lina wavuvi kutoka nchi za Zambia, DRC, Burundi na Tanzania. Uamuzi wa kuzuia wavuvi kuvua kwa muda fulani, unapaswa kuhusisha nchi zote tatu ili zoezi la kunenepesha samaki lifanikiwe.
Kutangaza kuzuia uvuvi upande wa Tanzania pekee wakati nchi washirika zikiendelea kuvua, haileti maana yoyote wakati samaki hawaijui mipaka ya nchi zetu.
Nadhani uvuvi uendelee ila iwe kwa kudhibiti idadi ya wavuvi kwa siku na kiasi cha kilo za kuvua kwa siku. Wavuvi wafanye shift, mfano wiki hii wavuvi kumi kilo kadhaa au ndoo ...hakuna kuvuka!. Zoezi liende hivyo kwa miedzi sita.
Anadanganya huyo.....nchi zote 4 zimeshakubaliana.....Congo watatusikiliza sisi. Itifaki itafanyika na watakubali.
Wenye akili wanajua faida yake.
Migebuka ya mboga tu inapatikana lkn sisi tunazungumzia ya kusafirisha nje hakuna.
Mkuu taarifa yako si sahihi....nchi zote 4 zimekubaliana.....Congo wamekataa Ziwa lisifungwe.
Mkuu hivi janga linapotokea huwa ni lazima kuwe na mbadala mathalani wa kutafuta vipato?!!!!Hilo la hao wakazi wa maeneo ya shughuli za kivuvi ndio kilio kikubwa kufungwa kwa Ziwa bila wao kuwa na mbadala wa shughuli za kuwaingizia kipato.
Serikali iwaandalie hao Watanzania wenzetu mbadala watakapofunga hilo Ziwa.
Sio wa biashara.....Kibirizi eneo la migebuka kibao
Si kweli kwamba wananchi wanao ishi ziwa Tanganyika wanategemea kwa asilimia 100 uvuvi tu bali pia wanategemea zaidi kilimo za mazao ya biashara kama mihogo, maharagwe, mahindi, mpunga, na Karanga.
Pia ikumbukwe kuna wakati samaki wanakosekana kabisaaa na wananchi wanaendelea na biashara zingine, hivyo si kweli kwamba eti ziwa likifungwa kwa miezi 3 eti wananchi watakufa kwa umasikini
Ok kama hivyo ni sawa, lakini utekelezaji wake ni mgumu, ukizingatia kuwa shughuli ya uvuvi kwa mvuvi ndio uhai wake, ukizuia wasivue lazima uwahakikishie kipato mbadala vinginevyo magendo yatajaza nafasi.Ni uamuzi wa nchi zote 4.....mpaka mwezi wa 8......
Usemayo yana tija....Ok kama hivyo ni sawa, lakini utekelezaji wake ni mgumu, ukizingatia kuwa shughuli ya uvuvi kwa mvuvi ndio uhai wake, ukizuia wasivue lazima uwahakikishie kipato mbadala vinginevyo magendo yatajaza nafasi.