Kufungwa kwa ziwa Tanganyika

woiso woiso

Member
Feb 20, 2021
47
44
Bungeni kuliulizwa swali la kifungwa kwa ziwa tanganyika kutokana na samaki kupungua na moja kwamoja majibu yalitolewa kua suala la kufungwa lilichululiwa baada ya samaki kupungua.

Swali la msingi ni Je?
1. Watafiti walitafiti upunguaji wa samaki?
2. Je wenye dhamana walijitangazia tu kufunga?
3 wananchi wanaofanya shughuli zao ziwani walishirikishwa kikamilifu?
4. Kama walishirikishwa taaarifa zilifafikia walengwa wote wabunge na mikoa Inayozungukwa na ziwapamoja na mamlaka shirikishi?
5. Wizara ilitathmini na kuona hatua wanazozichukua zina tija kwa wananchi wa chini na watumiaji wa ziwa.?

Wana Jamii mwenye ufafanuzi zaidi?
 
Bungeni kuliulizwa swali la kifungwa kwa ziwa tanganyika kutokana na samaki kupungua na moja kwamoja majibu yalitolewa kua suala la kufungwa lilichululiwa baada ya samaki kupungua.

Swali la msingi ni Je?
1. Watafiti walitafiti upunguaji wa samaki?
2. Je wenye dhamana walijitangazia tu kufunga?
3 wananchi wanaofanya shughuli zao ziwani walishirikishwa kikamilifu?
4. Kama walishirikishwa taaarifa zilifafikia walengwa wote wabunge na mikoa Inayozungukwa na ziwapamoja na mamlaka shirikishi?
5. Wizara ilitathmini na kuona hatua wanazozichukua zina tija kwa wananchi wa chini na watumiaji wa ziwa.?

Wana Jamii mwenye ufafanuzi zaidi?
Ni nchi zote zimefunga?
 
Uvuvi haramu ndio sababu ya kupungua kwa samaki ziwani alafu hao hao wavuvi haramu ndio wa kwanza kulalamika ziwa washenzi kabisa hao
 
Bungeni kuliulizwa swali la kifungwa kwa ziwa tanganyika kutokana na samaki kupungua na moja kwamoja majibu yalitolewa kua suala la kufungwa lilichululiwa baada ya samaki kupungua.

Swali la msingi ni Je?
1. Watafiti walitafiti upunguaji wa samaki?
2. Je wenye dhamana walijitangazia tu kufunga?
3 wananchi wanaofanya shughuli zao ziwani walishirikishwa kikamilifu?
4. Kama walishirikishwa taaarifa zilifafikia walengwa wote wabunge na mikoa Inayozungukwa na ziwapamoja na mamlaka shirikishi?
5. Wizara ilitathmini na kuona hatua wanazozichukua zina tija kwa wananchi wa chini na watumiaji wa ziwa.?

Wana Jamii mwenye ufafanuzi zaidi?


6---Je ziwa limefungwa Tanzania tu au hata katika nchi jirani kama Congo, Burundi na Zambia ambao tunashirikiana Ziwa hilo??
 
Back
Top Bottom