ery mendez
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 296
- 618
Mimi nilishawahi kugoma asee nilikua private nalipwa mara 3 ya tgsHahaha sijawahi kusikia mtu kagoma kwenda huwa ni mbwembwe tu za mtandaoni mfano sisi kwenye halmashauri yetu sijaona kama kuna mtu hajaja nimewaona