Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Haha Mkeka mrefu kiaje kama mchujo ulifanyika kwenh Written.
Halafu nafasi zenyewe ni moja moja kwa kila kada
emoji23.png
emoji23.png
emoji2.png
emoji2.png
emoji2.png
Yaani unajumuisha taasisi nyingi ambazo zimefanya usaili wa mahojiano katika tarehe hiyo kwa hiyo mtavyoitwa kazini ni waliofanya usaili kuanzia tarhe 19 hadi 27 mei
 
Hawajajipanga utumishi bado hawawezi kurun zoezi la interview kwa haraka sababu kubwa ni uhaba wa nguvu kazi. Hiyo inatakiwa tàasisi kama NECTA
Wanajamvi nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nn kinacho endeleea.
 
Walioitwa Kazini MUST
 

Attachments

  • 20222707191348TANGAZO LA KUITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA(MUST).pdf
    466.7 KB · Views: 164
Back
Top Bottom