Ndiyo mlifanya na watu wa veta pamojaUDSM tarehe 25 June
Yaani unajumuisha taasisi nyingi ambazo zimefanya usaili wa mahojiano katika tarehe hiyo kwa hiyo mtavyoitwa kazini ni waliofanya usaili kuanzia tarhe 19 hadi 27 meiHaha Mkeka mrefu kiaje kama mchujo ulifanyika kwenh Written.
Halafu nafasi zenyewe ni moja moja kwa kila kada![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wanajamvi nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nn kinacho endeleea.
Wanajamvi nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nn kinacho endeleea.
Sahihi utumishi ina nguvu kazi ndogo ni wakati wao sasa na wao wapate kibali cha kuajiri ili kuongeza nguvu kazi ili kuboresha ufanisi wa kaz ziende kwa harakaHawajajipanga utumishi bado hawawezi kurun zoezi la interview kwa haraka sababu kubwa ni uhaba wa nguvu kazi. Hiyo inatakiwa tàasisi kama NECTA
Ndiyo upo uwezekano wakaunganisha pamoja kutegemea na idadi ya post kwa kila kitengoMei / june
Bado mkeka mwengine ambao wajiriwa wapya watafuata barua DomWalioitwa Kazini MUST