BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 2,680
- 4,629
Waende tu wakapige KaziKwa hiyo wasiende!?
Waende tu wakapige KaziKwa hiyo wasiende!?
IT vp?Halmashauri wenye nafuu ni engineers,landsaveya, advocates,doctors, pharmacist, accountants (CPA), lakini wale wa Human resources, public administration, public relations, records mgt, hamna kitu
Nao pia wako vizuri, Kwa sabbu wako tgs e
Halmashauri hizi inategemea na mkurugenzi mlie nae. Mshahara sio issue sana kwasababu tofauti ya TGTS D na E take home ni laki 1.5Halmashauri wenye nafuu ni engineers,landsaveya, advocates,doctors, pharmacist, accountants (CPA), lakini wale wa Human resources, public administration, public relations, records mgt, hamna kitu
Pole sana ndugu yangu na tuombe Mungu akujaalie afya yako iwe salama,asali watu wamelamba tu amshukuru Mungu kwa hilo,sisi wengine bado tunapiga ramli.Wazee humu nilishikwa na homa heavy ,,,,leo hii ndiyo namepata nafuu vipi kuna waliolamba asali humu kwa pdf ya wiki hii ambao wanaenda tamba Halmashauri huko
Wahasibu ndio hawafi njaa hata ofisi iwe kame namna gani?
Halmashauri hizi inategemea na mkurugenzi mlie nae. Mshahara sio issue sana kwasababu tofauti ya TGTS D na E take home ni laki 1.5
Issue ni OT. Mimi nilifanya halmashauri moja tulikuwa tunapewa OT laki 3 kila mwezi ilipita miaka miwili akaletwa mkurugenzi mpya akaondoa OT. Tuliishi maisha magumu sana maana mshahara tulishakopea imebaki take home laki 2.5
Mmh hiyo laki tisa mshahara wa kima cha chini tanescoNenda halmashauri mkuu ingawa huo mshahara unaopata sasa utaufika baada ya kutumikia miaka 4.
Utaanza na TGTS D1 = Laki 7.3
Baada ya miaka 4 utapanda daraja kwenda TGTS E1= Laki 9.9
Ahahahah jumatatu uhakika ñitakuwa fiti kuwapandisha juu pale pia nitawaibia nyepesi nyepesi for next pdfPole sana mkuu.
Andaa mafuta ya Bajaj kesho kutwa uwapeleke Masjala ya Wazi
Shukrani sana,,,,Agenda iliyopo mezani ni database iiishe mkuu utalamba asali kitengo utakuja niambiaPole sana ndugu yangu na tuombe Mungu akujaalie afya yako iwe salama,asali watu wamelamba tu amshukuru Mungu kwa hilo,sisi wengine bado tunapiga ramli.
Hapa tusubiri mpaka lini tena bwana makofia360
Nani agome kureport? Hiyo ilikuwa zamani saiv ni rare cases..Mkeka usiopendwa na vijana wa jf.
Aya leteni shuhuda za kugoma kureport
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Bora kupata kuliko kukosa kabisaHalmashauri hamna asali, Ile ni wali Maharage,
Famasiala nnHahaha sijawahi kusikia mtu kagoma kwenda huwa ni mbwembwe tu za mtandaoni mfano sisi kwenye halmashauri yetu sijaona kama kuna mtu hajaja nimewaona
Inategemea Ndugu, kama Taasisi ya Private iko strong hata mm ningebaki huko. Ila unakuta Taasisi zingine mguu ndani mguu nje..Mimi nilishawahi kugoma asee nilikua private nalipwa mara 3 ya tgs
Hilo ndo umeongea Mkuu! Naunga mkono hoja ilitazame sana kwa upana! Na hii inapelekea hata ufanisi wa Halmashauri kuwa wa kutoridhisha otherwise kila mwaka hawa watu watakuwa na hati chafu za kutosha tuIla kiukweli serikali iboreshe maslahi ya Watu wa halmashauri.
Tutashukuru sana mkuu.Ahahahah jumatatu uhakika ñitakuwa fiti kuwapandisha juu pale pia nitawaibia nyepesi nyepesi for next pdf
Hapa ningekushauri uende Halmashauri tu kwa sababu kuu mbili;Wakuu nina swali ipi bora halmashauri TGS D au private salary 900k basic per month na mkataba ni ku renew after one year (uhakika).
Well said Mkuu! Tunaambiwa shirika kama TTCL au ATCL ambayo yanapata hasara kila mwaka lakini mishahara yao iko juu, hili nalo inabidi litizamwe..Watakwambia halmashauri haziingizi mapato ila zinatumia tofauti na taasisi kama TRA, TANESCO e.t.c
Lakini ukiangalia kuna mashirika kila mwaka yanaingiza hasara na mengine yanakaribia kufa ila mishahara yao iko angani kuliko halmshauri. Pia ziko halmashauri zinaingiza Billions kila mwaka(ILALA,K/NDONI/TEMEKE/MAFINGA/DODOMA JIJI) Ila bado mishahara duni