sawa asanteRafiki yngu mmoja alikua kwnye zile ajira za mkataba za wizara ya ardhi,akafanya interview ya valuer January,now kapata ya kudumu
anhaa sawa asanteCompetition ni kubwa ukibahatik ya mkataba,na still unatakiwa upambane ivo ivo kwenye ya kudumu usijisahau
Kweli aiseeDawa ya hayo mambo achana na ajira za mkataba omba za kudumu tu kuna katabia la kujisauhau na kumchukulia poa