Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Taasisi nyingi watu wanajitolea kwa connection, kauli ya spika ya kusema wanaojitolea wapewe kipaumbele kwenye ajira wakisema waitekeleze itakua ni uchochoro wa kupachikana kwenye mirija ya ajira
nadhani alimaanisha kada za afya sio zote
 
Back
Top Bottom