Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,017
- 122,377
HESLB ni mchawi kinyama na pesa zake zilikuwa tamu kweli kweliUkipigwa NHIF, PSSF, HESLB, PAYE zinakwangua almost 40% ya hiyo. Kama kuna viposho vya hapa na pale kidogo mambo yanakua mufti.
HESLB ni mchawi kinyama na pesa zake zilikuwa tamu kweli kweliUkipigwa NHIF, PSSF, HESLB, PAYE zinakwangua almost 40% ya hiyo. Kama kuna viposho vya hapa na pale kidogo mambo yanakua mufti.
Ikiwemo hizi za rufaa za mikoani? e.g Mwananyamala, Amana, Temeke, Bombo, Tumbi, Dodoma n.kMashirika ya umma yote, vyuo vikuu, hospitals zilizo chini ya wizara, e.t.c
HESLB ni mchawi kinyama na pesa zake zilikuwa tamu kweli kweli
Sina hakika ila nadhani hao watakua chini, af hio pgss ni kwa kada ambazo si za afya, wale wa afya wanakua pmgss ambayo ipo juu kidogo compared to pgssIkiwemo hizi za rufaa za mikoani? e.g Mwananyamala, Amana, Temeke, Bombo, Tumbi, Dodoma n.k
Yes, na asali za hapa na pale hazikosagiIkiwemo hizi za rufaa za mikoani? e.g Mwananyamala, Amana, Temeke, Bombo, Tumbi, Dodoma n.k
PSRS Yan mpaka intern wanataka kufanya sailiAnajitolea kwa koneksheni huyo. Msidanganye umma wa Vijana wa Ki Tz.
Kama huamini kaombe wewe nafasi ya kujitolea bila malipo kama utapata!
Chuo kikuu cha mzumbe ,uhandisiTaasisi gani yenye hii scale aisee?
Makato ni machungu kama shubiriHESLB ni mchawi kinyama na pesa zake zilikuwa tamu kweli kweli
nadhani alimaanisha kada za afya sio zoteTaasisi nyingi watu wanajitolea kwa connection, kauli ya spika ya kusema wanaojitolea wapewe kipaumbele kwenye ajira wakisema waitekeleze itakua ni uchochoro wa kupachikana kwenye mirija ya ajira
pdf la database 1769 aliloahidi jenista bado tu jamani ?
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Hata kwenye kada za afya ni Yale yalenadhani alimaanisha kada za afya sio zote
Mkuu vipi na hii scale ya PUSS 4, inaanzia sh. ngapi ?1,375,000/=
Puss sifahamMkuu vipi na hii scale ya PUSS 4, inaanzia sh. ngapi ?
Bado, ila wakianza itakuwa vilio sanaWashaanza kuvuta chao??
Nadhan huwa wanaanza baada ya mwaka mmoja kama sikoseiBado, ila wakianza itakuwa vilio sana
Bado, ila wakianza itakuwa vilio sana
Nadhan huwa wanaanza baada ya mwaka mmoja kama sikosei
Daahh, hili zari nikiniangukia naweza kuwa kwenye wakati wa ahueniKuna mshkaji wangu walianza baada ya miezi nane
Akili ya kujiongeza ndio inabidi ifanye kazi kwa speed ya mwanga aisee kwenye situation hiiSema bora waanze mapema umalizane nao mapema