Hahaha haiyaNakushauri kesho ikiwajia ukiwa mzima nenda sokoni kanunue chakula unacho penda ule ufurahi ,Ili uishi maisha marefu , PSRS watakuwa Kwa presha
Hahaha haiyaNakushauri kesho ikiwajia ukiwa mzima nenda sokoni kanunue chakula unacho penda ule ufurahi ,Ili uishi maisha marefu , PSRS watakuwa Kwa presha
Pole sana, don't take it serious ni utani tu ila wameanza kuitaNisamehe ndugu yangu ndio nmetoka ku recover from C section kufumka fumka Kila mara ndugu yangu nipo offline tangu mwezi February Nina wiki tu tangu nianze kuimarika,nmepitwa na mengi
Pole sana mkuu.Nisamehe ndugu yangu ndio nmetoka ku recover from C section kufumka fumka Kila mara ndugu yangu nipo offline tangu mwezi February Nina wiki tu tangu nianze kuimarika,nmepitwa na mengi
MDAs and LGAs? Wameanza? Ila sio waliofanya mwezi wa pili?Pole sana, don't take it serious ni utani tu ila wameanza kuita
Usijali naelewaPole sana, don't take it serious ni utani tu ila wameanza kuita
Asante ndugu yangu
Wa mwez wa pili wameanza ndio, ulifanya kada gan, wameanza mwez wa pili had tar 20MDAs and LGAs? Wameanza? Ila sio waliofanya mwezi wa pili?
Afisa tawala nilifanya tareh 15 FebruaryWa mwez wa pili wameanza ndio, ulifanya kada gan, wameanza mwez wa pili had tar 20
Yes wameanza, ingia kwenye web ya psrs angalia jina lako kwenye kila placement ya kwanzia mwez mach ukilikosa usipanic coz walioitwa hawafiki 10Afisa tawala nilifanya tareh 15 February
Tunafanya vetting. Wahuni mmekuwa wengi serikalini.
Tunataka nidhamu na watu waadilifu. Count this after 10-15 years, watakapoaanza kushika nafasi za uongozi.
Mbona bado yupo ndan ya mdaWadau kuna jamaa amepata placement lakini amechelewa kuona tangazo la kuitwa kazini.
Tangazo lilitoka tarehe 29/3
Taarifa amepata leo
Na ndani ya siku 14 anatakiwa awe ameripoti
je mnamshauri afanyaje ili asiikose nafasi?
Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
Mkeka ushaanza kutoka , wanatoa majina kidogo kidogoJamani naombeni kuuliza waliofanya usaili wa oral MDAs and LGAs mkeka ushaanza kutoka??kama bado matarajio yanaweza kuwa mwezi Gani wazee wa prediction maana hizi nafasi zinakaribia mwaka sasa tangu zitangazwe na mchakato wake zilitangazwa mei 2022
Sahihi, Ndani ya siku 14 huwa ni stori tu.Mbona bado yupo ndan ya mda
Pdf la juzi lina waliofanya mwezi wa piliMDAs and LGAs? Wameanza? Ila sio waliofanya mwezi wa pili?
Barua aliifuata utumishi? Kama hakufuata aende kwenye box akaangalie kama kweli wamemtumia au aifuate mwenyewe akawaombe, maana Naona zile siku Saba za kufuata barua zimeshaisha kitambo, hapo sijui labda watamuonea huruma kama hawajampa mtu mwingine.Wadau kuna jamaa amepata placement lakini amechelewa kuona tangazo la kuitwa kazini.
Tangazo lilitoka tarehe 29/3
Taarifa amepata leo
Na ndani ya siku 14 anatakiwa awe ameripoti
je mnamshauri afanyaje ili asiikose nafasi?
Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
Siku saba za kuchukua barua, then siku 14 za kureport kazinSahihi, Ndani ya siku 14 huwa ni stori tu.
Asante sana Mkuu.Amina,Mwenyezi Mungu akakuongoze katika utumishi wako,hongera sana
Hawawez mpa mtu mwingine mbaka ofisi aliyopangiwa itoe taarifa kwa psrs kua mhusika hajareport kazin, na hiyo process yote si chin ya mwez. Kuna siku saba za kuchukua barua utumishi then barua itatumwa kwa box la mhusika, then kuna siku14 za kureport kituo cha kaziBarua aliifuata utumishi? Kama hakufuata aende kwenye box akaangalie kama kweli wamemtumia au aifuate mwenyewe akawaombe, maana Naona zile siku Saba za kufuata barua zimeshaisha kitambo, hapo sijui labda watamuonea huruma kama hawajampa mtu mwingine.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hawawez mpa mtu mwingine mbaka ofisi aliyopangiwa itoe taarifa kwa psrs kua mhusika hajareport kazin, na hiyo process yote si chin ya mwez. Kuna siku saba za kuchukua barua utumishi then barua itatumwa kwa box la mhusika, then kuna siku14 za kureport kituo cha kazi
Kwa ufupi huyo mtu bado yupo ndan ya mda, nafasi yake ipoBarua aliifuata utumishi? Kama hakufuata aende kwenye box akaangalie kama kweli wamemtumia au aifuate mwenyewe akawaombe, maana Naona zile siku Saba za kufuata barua zimeshaisha kitambo, hapo sijui labda watamuonea huruma kama hawajampa mtu mwingine.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app