Mgogo Vitani
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 492
- 876
- Unashangilia Sana, Uwakili wa serikali ni kama Ualimu tu, tofauti ni ndogo Sana, angalau ungekuwa umepata Kazi EWURA,LATRA,TRA,TANAPA,TCRA,eGA
-
Utoto raha sana aisee.
- Unashangilia Sana, Uwakili wa serikali ni kama Ualimu tu, tofauti ni ndogo Sana, angalau ungekuwa umepata Kazi EWURA,LATRA,TRA,TANAPA,TCRA,eGA
-
Okay mimi kuna mtu ndio aliniambia mimi hata sikufanya ila mwaka huu ndio nilifanya akaniuliza status yako imechange nikamwa Hapana imeishia selected for oralBINAFSI hyo stutus ya reserve sijawahi kuona wa kusikia ndio mara ya kwanza. Ila ninachojua TRA walikuwa na uhitaji mkubwa sna ndio maana watu walichukuliwa wengi kuliko hata nafasi zilizotangazwa.
So mwaka huu pia walichukua wote walio faulu???BINAFSI hyo stutus ya reserve sijawahi kuona wa kusikia ndio mara ya kwanza. Ila ninachojua TRA walikuwa na uhitaji mkubwa sna ndio maana watu walichukuliwa wengi kuliko hata nafasi zilizotangazwa.
[emoji23][emoji23]kwamba na ww haijai badlika kama yeye so ikija pdf umooookwaheri ujobless
So mwaka huu pia walichukua wote walio faulu???
Hawakuwa wanaandika au..?Walikuwa wanaandika ila kwann wengine wanarushwa Wengine wanasikilizwa?
Mungu Mkubwa sana.TBT.
Alitusua na aliomba muongozo humu.
msikate tamaa
[/QUOTE]Hawakuwa wanaandika au..?
Mkuu naona ushapata chimbo, hatuonani kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]Mungu Mkubwa sana.
Huu uzi ni muhimu sana kwa jobless kamwe msiache kuusoma mtanishukuru baadae.
Waliitwa October kuchukua barua zao.Mbona kuna watu waliandikiwa reserve baada ya placement ya mwaka jana wakitegemea mwaka huu wataitaitwa lkn ikiwa kimya na baadala ya placement ya juzi hawajasema chochote kwa status
Okay hapo nmekuelewaWaliitwa October kuchukua barua zao.
Hata hivyo walikuwa wachache sana, maana wengi walishakuwa kwenye pdf.Okay hapo nmekuelewa
>>Hiyo kazi haina mshahara mkubwa wakati yeye hana issue yeyote kitaa.
>> Hiyo kazi kuna jamaa yangu ameacha kazi hailipi usiombe.
Hapana nilipiga za MDAs and LGAsUlifanya saili za vyuo..?
Noted mkuuHabari za leo wapendwa.
Poleni na mapambano ya kusaka mrija wa asali, kamwe msikubali kukatishwa tamaa na mtu yeyote maana kila mtu anayafahamu maisha yake vizuri.
Kuna Jamaa wakati napambana kuomba kazi na kufanya saili mbalimbali alikuwa akitema shombo sana kuhusu mimi ooo huyu jamaa anamaliza pesa kwenye nauli tu hizo kazi zinawenyewe ni bora hata angefungua genge baada ya kusikia nimepata kazi saizi anaomba kila kazi hata kama ina mtu mmoja.
Yaani mtu hakudai wala hakusaidii chochote ila kazi yake ni kukukatisha tamaa tu. Utaambiwa.
Kamwe usikate tamaa.
Me Huwa najuaga kwa taasisi za vyuo na kama mko wachache huwa hawana mda wa kuandika wanachagua tuvwanayemuhitajiHapana nilipiga za MDAs and LGAs
Me Huwa najuaga kwa taasisi za vyuo na kama mko wachache huwa hawana mda wa kuandika wanachagua tuvwanayemuhitajiHapana nilipiga za MDAs and LGAs
database ile ya 1700 imeanza kutema piaMawakili wengi asee wamelamba Shavu.Naimani Kesho wataamka wakiwa na Furaha tele sana waliobahatika.....
Huu mwaka wanasheria, wahasibu wamekula sana shavu.database ile ya 1700 imeanza kutema pia