Yaani watu wanajipa moyo sana, malegend tunaangaliaSio kweli kuna watu wana selected for oral na wamekosa
Yaani watu wanajipa moyo sana, malegend tunaangaliaSio kweli kuna watu wana selected for oral na wamekosa
Kuna watu Jana niliwaambia Leo Kuna placement wakabisha😂😂😂😂🖐️🖐️🖐️#HONGERENI KWA MLIOITWA KWENYE UTUMISHI WA UMMA#
mkawe watumishi wenye maadili mema na uadilifu
Kwa mliokosa msife moyo wakati wa mungu siku zote huwa sahihi zaidi
N.B JUMANNE Tuipe Heshima yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Za nini Mkuu?Zimebakia nafasi 1227
Status hzina ishu aisee labda kama umo databaseMi nina selected for oral ila ni baba jeni bye-bye
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hahaha kweli kabisa dada yetuYaani watu wanajipa moyo sana, malegend tunaangalia
Nadhani hii post ya Jana mnaikumbuka vyema......Placements ni Kesho na Jumatano....
Tujiandae kisaikolojia,kama Taasisi yako au Yangu itakuwa imefikiwa au Bado tutaendelea kuvuta Subra.......
#Mapambano yaendelee
Nadhani hii post ya Jana mnaikumbuka vyema...Placements ni Kesho na Jumatano....
Tujiandae kisaikolojia,kama Taasisi yako au Yangu itakuwa imefikiwa au Bado tutaendelea kuvuta Subra.......
#Mapambano yaendelee
Kwani idadi ya walioitwa haija tally na idadi iliyotangzwa kwenye tangazo la ajira?🤣🤣 Safari inaanza Upya tena? Hongeren Kwa Mliobahatika kupata Ajira TRA Mwenyezi Mungu akawasimamie mkawe watumishi wema!.
Nilikuwa kwny Orodha ya wasubiri PDF lkn Kwa Idadi iliyoitwa nimeona nisawa kutokuwepo uwenda Nyakati yng bado haijafika.
Ushuhuda wa Status.
Nilipitia change zote mpk Mwisho ilikuwa Ikisoma SELECTED for Practical Interview
Asante sanaHongera sana
Asante sana bossHongera sana boss
TBT.Hahahaaaa, asikate tamaa.
Mimi nilibakisha silaha moja(NAOT) hatimaye shoot limekuwa on target, sasa ni battle la kipa na mpira[emoji3][emoji3][emoji3]
Km ni Database Acha iwe sadaka Mi nishakubali kupambana Kwa Mara nyingne!Kwani idadi ya walioitwa haija tally na idadi iliyotangzwa kwenye tangazo la ajira?
TBT.Habari za leo wakuu
Nimeitwa oral interview NAOT - Mhandisi ujenzi II.
Naomba kujua maswali ya oral yanavyokuwa.
Kama unakumbuka tupia tu hata kama ni kada tofauti.