mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,625
- 2,544
Few days before baba wa familia fulani kakamatwa akimlawiti mtoto wa kiume wa familia nyingine(true story), unafikiri how does the two families take the situation??Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.
Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!
Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)
Ok.. let's go!
Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?
Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!
Kuna shida gani mtu akitumia mwili wake jinsi apendavyo??
Mtu anapokufa uchungu unawashika wengine, the same thing happens when you ar stupid!!