Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

ujue kila kiungo cha binadamu hakipo by emergence but for special functions mfano kazi ya mkono kula na kumsaidia binadamu aweze kujishughulisha na kazi zengine za kijamiii,mboooo as kiungpo kipo kwa ajili ya kutoa mfumo taka pia kwa kuendeleza faraja kwa kila binadamu hasa tendo la ndoa then kuzaliana.

k ipo kwa ajili ya kupokea kiungo cha uzazi cha kiume ,labda unaweza kusema why k kwa sababu hata ukiangalia k ipo kwa kitaalamu zaidi kwa kureceive penis ndio maaana utaona kuna maji maji yanazalishwa sooon after romantic lakin tendo la kufirwa halina hiyo ute coz its not special for penetration,

lets check efffects ujue kwa mtu ambae anajihusisha kwa hizi tabia za kihuni kwa kisayansi matokeo yake huwa ni

1,kupoteza nguvu hiii inatokana kwa mfumo mzima wa homoni hubadilika
2,kuharibika kwa marinda ambayo humsaidia mtu kuzuia kupenya kwa haja.
3,kwa mwanamke hupelekea kukosa hamu hata ya kuzaa hiii,inatokana na kushindwa kujifungua kwa njia ya kawaida hivyo visu vitamuuusu.


acheni tabia hizi za kipumbavu huyo anaetetea anasababu ya kufanya hivyo you never know wazungu wanasiri kubwa moyoni mwao,hivyo tukiendekeza huuu ujinga tunajipoteza wenyewe.
 
ujue kila kiungo cha binadamu hakipo by emergence but for special functions mfano kazi ya mkono kula na kumsaidia binadamu aweze kujishughulisha na kazi zengine za kijamiii,mboooo as kiungpo kipo kwa ajili ya kutoa mfumo taka pia kwa kuendeleza faraja kwa kila binadamu hasa tendo la ndoa then kuzaliana.

k ipo kwa ajili ya kupokea kiungo cha uzazi cha kiume ,labda unaweza kusema why k kwa sababu hata ukiangalia k ipo kwa kitaalamu zaidi kwa kureceive penis ndio maaana utaona kuna maji maji yanazalishwa sooon after romantic lakin tendo la kufirwa halina hiyo ute coz its not special for penetration,

lets check efffects ujue kwa mtu ambae anajihusisha kwa hizi tabia za kihuni kwa kisayansi matokeo yake huwa ni

1,kupoteza nguvu hiii inatokana kwa mfumo mzima wa homoni hubadilika
2,kuharibika kwa marinda ambayo humsaidia mtu kuzuia kupenya kwa haja.
3,kwa mwanamke hupelekea kukosa hamu hata ya kuzaa hiii,inatokana na kushindwa kujifungua kwa njia ya kawaida hivyo visu vitamuuusu.


acheni tabia hizi za kipumbavu huyo anaetetea anasababu ya kufanya hivyo you never know wazungu wanasiri kubwa moyoni mwao,hivyo tukiendekeza huuu ujinga tunajipoteza wenyewe.
SWALA SIO KIUNGO SAHIHI NI KIPI.

SWALA NI UHURU WA MTU KUTUMIA KIUNGO CHAKE VILE ANAVYOTAKA.

HATA AKIJAMBA KWA MDOMO SAWA TU MIMI HAYANIHUSU.
 
SWALA SIO KIUNGO SAHIHI NI KIPI.

SWALA NI UHURU WA MTU KUTUMIA KIUNGO CHAKE VILE ANAVYOTAKA.

HATA AKIJAMBA KWA MDOMO SAWA TU MIMI HAYANIHUSU.
Mbona una tumia nguvu kubwa kutetea ujinga ".... mkuu
 
Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.

Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!

Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)

Ok.. let's go!

Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?

Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!

Kuna shida gani mtu akitumia mwili wake jinsi apendavyo??
Huwezi kutenganisha hasira anayopata mtu akisikia fulani ni shoga mkuu na ushoga,they are related.Hasira hii ni ya kimungu,ni spiritual,kama vile ushoga ulivyo spiritual.Bwana Yesu alipoingia hekaluni akawakuta watu wakifanya biashara hekaluni alipandwa na hasira akapindua meza zao.Na sisi like wise,tunapandwa na hasira tukiona mtu akivunja maagizo ya Mungu.Hivi ni vita kati ya uovu na haki au Mungu na Shetani.
 
Huwezi kutenganisha hasira anayopata mtu akisikia fulani ni shoga mkuu na ushoga.It is spiritual,kama vile ushoga ulivyo spiritual.Hivi ni vita kati ya uovu na haki au Mungu na Shetani.Homosexulity is satanic.Kwa hiyo hasira mtu anayopata akimuona mtu shoga ni ya Kimungu na hasira anayopata mtu anapomuona mtu akishambulia ushoga ni ya Kishetani.
ANHAA...KUMBE NDIO HIVYO?

BASI WACHA PAMBANO LIENDELEE.
 
SWALA SIO KIUNGO SAHIHI NI KIPI.

SWALA NI UHURU WA MTU KUTUMIA KIUNGO CHAKE VILE ANAVYOTAKA.

HATA AKIJAMBA KWA MDOMO SAWA TU MIMI HAYANIHUSU.
i think unataka lkubisha na sio kwamba unauliza ili upate kujua/kujifunza.
 
Unajitahidi kuwatetea hawa jamaa ila hoja zako nimejaribu kuzielewa naona imeshindikana labda kwa sababu ya uswahili wangu yaani haiingii akilini mtoto wako wa kiume anafika miaka 20 halafu wewe baba unaletewa barua ya posa kutoka kwa mtoto wa kiume eti anataka kumuoa mtoto wako wa kiume kwa sababu wanatumia viungo vyao wao wenyewe na wewe baba kwa sababu una tabia za kizungu unakubali posa mtoto wako anaolewa na sherehe kubwa ...... aaaagh bora nibaki na uswahili wangu!!!!
 
Basi nyie ndio mmepotoka maana sio kila mtu ni mkristo au muisilamu.

Kwa mfano mimi sina dini yoyote ile.
Tupo ambao si wa kristo au waislam wala hatuamini uwepo wa mungu, lakini ili suala la ushoga kama sheria inakataza bhasi hatuna budi kutii, kila mahala kuna taratibu ukikihuka taratibu nadhani yapo madhara.
 
Back
Top Bottom