FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
Chochote kinacho tishia ku-derail 'survival' na 'propagation'ya uhai wa kiumbe chochote kile lazima kiume sana! Iwe ugonjwa,kifo, u-amber rutty, ushoga nk.
Atajua mwenyewe na mnduku wakeMwanao wa kiume akitolewa posa ili aolewe na jamaa utakubari?
DAAH ! NDIO MAANA MUNGU AKAUMBA MOTO.Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.
Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!
Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)
Ok.. let's go!
Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?
Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!
Kuna shida gani mtu akitumia mwili wake jinsi apendavyo??
Utakubari?Atajua mwenyewe na mnduku wake
Hata nikigoma haitambadilisha. Haya mambo hatuombei yatokee basi tunaeleza ni jinsi gani ni vigumu kucontol ushogaUtakubari?
Hakuna anayewaghasi magasho.Mbona wengine wameolewa kabisa?SASA HIZI HADITHI ZA AKINA KONKI NA MAKONDA ZILITOKA WAPI?
NINYI NDIO MNAWAGASI GASI HAO MASHOGA.
Naomba tujadili kidogo!Hata nikigoma haitambadilisha. Haya mambo hatuombei yatokee basi tunaeleza ni jinsi gani ni vigumu kucontol ushoga
ushawahi ona ng'ombe wanashogana...???Asili ipi ya uumbaji na kwa mujibu wa nani?
Mie mashoga nitawaruhusu kwa Shari MOJA TU.Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.
Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!
Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)
Ok.. let's go!
Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?
Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!
Kuna shida gani mtu akitumia mwili wake jinsi apendavyo??
JULIANA JULIANA! Hhahahaaabwabwa hilo..kinyeo ni nyenzo yake ya kipato
MASHOGA HAWAHITAJI RUHUSA YAKO.Mie mashoga nitawaruhusu kwa Shari MOJA TU.
(1) MZAE KWA MKUNDU.
MKISHINDWA BASI ACHENI.
Ukinitajia mnyama yeyote ambaye ni mammal na anafirwa basi ata wewe binadamu ni haki yako kufirwa, binadamu amekuwa nikiumbea ambacho kinazidiwa akili na mnyama.nashangaa mtu kama wewe unashundwa kung'amua.
Unajitahidi kuwatetea hawa jamaa ila hoja zako nimejaribu kuzielewa naona imeshindikana labda kwa sababu ya uswahili wangu yaani haiingii akilini mtoto wako wa kiume anafika miaka 20 halafu wewe baba unaletewa barua ya posa kutoka kwa mtoto wa kiume eti anataka kumuoa mtoto wako wa kiume kwa sababu wanatumia viungo vyao wao wenyewe na wewe baba kwa sababu una tabia za kizungu unakubali posa mtoto wako anaolewa na sherehe kubwa ...... aaaagh bora nibaki na uswahili wangu!!!!
MUNGU NI KIUMBE ALIYETENGENEZWA NA BINADAMU WA KALE.DAAH ! NDIO MAANA MUNGU AKAUMBA MOTO.
Mwili mkubwa lakini shoga dah....kwa hivyo umeolewa...
You are devil worshiper