Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,570
- 94,858
Ukipata hili jibu uniiteHebu tuweke hoja mezani,Serikali imekubaliana na ushoga kupigia mikataba ya kimataifa na imesisitiza kupitia waziri wa mambo ya ndani na nje kuwa itawalinda mashoga.Je viongozi waliosaini na kulinda,na kuwatetea mashoga Tanzania ni MASHOGA!?